@binaupdates: Mchimba madini Rebeca mnanka anasema kuwa ukiwa na million 10 mgodini ni pesa ya Nyanya tu hiyo

Bina Tv
Bina Tv
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 07 July 2026 10:55:23 GMT
222492
11716
321
1110

Music

Download

Comments

vicent.tingwa
V boy 2026 :
Hako nikahaya kanapenda sana sifa nakajua
2026-07-07 15:48:30
298
paulmiteda0
Paul Miteda :
wa madini tunajua mama yupo sawa
2026-07-07 16:49:55
186
nyamsabi0
Maxmilian maxmilian :
Baba angu alichukua kinua mgongo akaenda mgodini mpaka now hatujui ile pesa iliishaje na hamna kitu alivuna
2026-07-07 14:00:49
118
sensicalchurch
SENSICALCHURCH :
Pump 3 za Kuvuta Maji 7.5 HP - 6M; Kufunga Duara Matimba Semi 3 ni 9M; Kulipua kila Tundu 60K ulipue Tundu 400 hiyo ni 24M! Pipes za Maji na Nyaya za Three phase hujaweka Engine ya kufua Umeme ni Kama 5M …. Mweleweni huyo mama! Anaongea UKWELI.
2026-07-08 04:19:07
25
its.foci
MKAKA WA MBOLEA 🌽 :
Hata 50m haitoshi 😀😀
2026-07-07 14:50:38
66
mrs.ramzan115
Mrs ramzan Bashiri Pyaral :
nilipoteza milioni 80 nilirurudi na milioni 8 tu sina hamu
2026-07-07 16:05:07
93
miss_milly1
Milly💫 :
Sitasahau namimi nilienda na million 90iikapotea tu😭😭
2026-07-08 04:29:56
5
user1593283979908
mimah :
niwe na milioni 200 nifanye kazi ya nn sasa na ela ninayo😄
2026-07-08 04:49:41
7
neemabutoka
Ney toto :
Duh! Kumbe safar bado nindefu sana kaz ipo
2026-07-07 14:56:48
33
thekid_fx
Thekid_fx :
sio kwel, kwa anae anza mil 10 inatosha sana
2026-07-08 01:34:42
8
merlinone94
Merlinone94Robert :
utakuta kipindi anaanza alikuwa Hana hata mia
2026-07-07 15:28:59
23
paul.lameck
Paul Lameck :
Kuna siku moja kaka mmoja aliwahi kuniambia ukiwa na milioni mia 400 kwenye biashara ya madini hata plant tu haiwezi kujenga ikamaliza nililia sana😭😭😭
2026-07-07 22:10:59
5
user9430752489140
user9430752489140 :
ni kweli ela ndogo sana
2026-07-07 18:06:23
13
yunus_abeid
Yunus Abeid :
Mgodini iyo ni hela ndogo sana
2026-07-07 16:07:41
18
user71857285344771
King David :
huo ni ukweli mtupu
2026-07-07 18:44:55
10
faridasalum618
Fefe sadick :
nilipoteza million 60 nikrd na milion 1 😅
2026-07-07 16:19:00
11
beaczonic1
Beaczonic :
wakurya tujuane mbaneee🥰
2026-07-07 18:16:37
7
official.vee.tz
#VenithaInspo💪💡 :
M nna mtaji 1M napendeza ila wenye 200M ndo hv jamn😳 au hiz pesa zinabagua
2026-07-07 17:53:28
14
mama.g980
mama G og :
kabisa me nilienda na milion 30 mhmh sina hamu
2026-07-07 17:26:45
8
nsjmnyamwez
nicholaus :
mamae
2026-07-07 11:55:11
9
user2542251153247
najma♥️♥️♥️ :
nilienda na million 100 nikarud na laki 5 😭😭😭😭
2026-07-08 05:01:37
2
user2307403960261
borson :
anaonge ukweli mm nimepoteza bilioni2 na nusu mirerani na sijapata mawe niatari sana
2026-07-08 04:40:12
3
user3811722376501
Mugunda :
nipe order mama
2026-07-07 19:16:02
4
linethwilliam746
YUSRA😘 :
kweli kabisa mm ni shuuda mzuri kwa mume wangu madini ni kiboko sina amu
2026-07-07 20:46:20
4
To see more videos from user @binaupdates, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About