@khairiyyatvtanga: *KUANDAMANA HAITASAIDIA KITU,TUJIKITE KWENYE KULETA MAENDELEO NA KUJIKWAMUA KIUCHUMI,MUFT AWAONYA WAUMINI WA KIISLAMU KUANDAMANA* Tazama Gusa Link Hii utazame Full https://youtu.be/ZXlf-ECXobg Gusa link Juu Tazama Mufti Amewataka Waislamu kutumia Muda Mwingi Kutafakari namna Gani wanaweza Kushika maeneo (Ardhi) na Kuwekeza Kwasababu ya Maendeleo na Badala Yake Kuacha mara Moja Kuwa Na Mipango ya Kuharibu Amani Aidha Mheshimiwa Muft Ameongezea Kwa Kuwapongeza Viongozi wa Serikali Akiwemo Raisi Ya Kwamba pindi Tunapowahitaji Kwenye Mambo Yetu Wanatusaidia Sana Hivyo twendeni Kwenye Ofisi Zao Tukaeleze Shida zetu Hayo Aliyasema Mheshimiwa Muft katika Kilele Cha Maadhimisho Ya Sherehe Za Kielimu Shamsu Lluha Day 2026 Tazama Full Usisahau #comment #like #share #subscribe Katika channel yetu ya @KHAIRIYYAONLINETV Mawasiliano 0622 166 959