mnachoongea ni ukweli kabisa taifa halijui linataka nn
2026-07-08 09:48:11
3
Hilary :
kaka umeongea ukweli mtupu na ukweli wako utabaki milele BIG POINT
2026-07-08 17:16:53
1
Kimario :
kweli
2026-07-08 04:34:26
3
Al Bawab Tubla'q :
Nyie wenyewe mnaongea kwa kitu hamna habari kamili. Mngezunguka mkapata jibu.
2026-07-08 17:59:44
1
Bosco Mushi :
point
2026-07-09 08:16:23
1
Deejay Zachaa :
ok sawa mzee
2026-07-08 19:05:45
0
tomas sankala :
farhani kihamu ni mwamba
2026-07-08 18:00:53
0
Gee :
najivunia ww kijana wangu
2026-07-10 09:28:45
0
Hot23 :
exactly ๐ฏ๐ฏ
2026-07-08 04:07:18
2
mjumbe :
nikweli kbx mchawi katba mpya tu haki Ya mungu ikipatikana katba wanahalakati watakosa nguvu
2026-07-08 01:30:16
8
MARTIN :
Mi ushauri wangu samia bora angejipumzikia zake tu maana kelele zimekuwa nyingi sana na zilizo nyingi ni za kweli ko kama hali yenyewe ni kulumbana hivi hatuwezi songa bora anayelalamikiwa akubali kuwaachia linchi lao๐๐๐
2026-07-08 16:32:42
0
athumanyahaya55 :
dogo upeo mkubwa sana
2026-07-08 10:43:26
1
Aidan mjema :
yaani hayo maandamano ya kukaa ndan ni mabaya sana ndio mana Magufuli aliyakataa Enzi za korona
2026-07-08 17:52:39
1
gabion :
Zungu kaa kimya huyo kijana humfikii kwa kuwa na independent mind......ni mchambuzi makini sana na mchambuzi anaye fanya utafiti na ni critical thinker
2026-07-08 08:17:38
3
To see more videos from user @tevar_demas, please go to the Tikwm
homepage.