@touti_tech: Kwa nini wasanii sasa hivi wanatumia earphones za waya?, sababu ni nyingi kama huwezi kuchaji, ni ngumu kupoteza, zina muonekano wa kipekee n.k. Ila sababu yangu kuu ni utofauti. #toutitech
mimi sijawahi zikubali aipods, huwa natumia za waya tu
2026-07-07 22:07:47
7
BohariMusic :
Safi na mm nimeacha kutumia,radiation brother,
2026-07-08 09:43:37
1
Yesse Damiani :
Leo nime kuelewa ila kusema vitu vya machinga fek
sija penda unataka charge og Kwa 5000
2026-07-07 19:49:59
2
Britain gold :
mimi nilibaki na ushamba wangu, mambo hayo sijawai tumia Bluetooth ina mionzi inaharibu ubongo na hata kuleta kansa ya ubongo, mimi nimechagua kuwa mshamba
2026-07-08 20:23:31
0
Tee🌹🦋 :
Mhhhh
2026-07-08 16:06:44
0
kevy :
Tutapewa mwili mwingine huko juu
2026-07-10 17:04:38
0
Fey smile💞💞 :
hizo pods zinaleta shida kwa masikio pia na ukieka sikioni for long time kichwa kinauma
2026-07-08 16:34:24
1
it's pogback75 :
brutu ndo nn😃
2026-07-08 05:52:56
0
Paslain Akili kubwa :
af kuna Pord mpaka za laki 5 sijui ubora wake unakuaje
2026-07-07 21:16:36
1
Lewis Sugar boy11 :
✌️✌️✌️
2026-07-10 01:40:14
1
To see more videos from user @touti_tech, please go to the Tikwm
homepage.