@dr.florence.kanozo: TUZUNGUMZIE POSTURE YAKO: Part 4: Unakaaje Ukiwa Unaendesha Gari? Ukiachana na watu wa majumbani wanaokaa kwa muda mrefu, wahanga wengine ni madereva. Jiji letu la Dar, lina foleni ya kutosha na madereva hutumia muda mwingi wakiwa wamekaa Hivyo ni muhimu sisi kujua mkao huu ni wa aina gani na kwanini unawaumiza madareva. Na kama ilivyo kawaida yangu mwisho tutaelezana nini cha kufanya ili kuepukana na maumivu hayo. Karibu sana. #drflorencekanozo #posture #silvermoves #foryou
Nipo na wewe , ila ume tusahau tunao endesha bajaj.
2026-07-18 17:47:43
1
Anyisile :
Aisee nimejikuta nimekuwa addicted na clip zako and zimekuwa helpful
2026-07-09 16:15:27
1
joseph kwela :
mimi maumivu kwenye kiuno upande wa kulia
2026-07-21 17:35:43
1
kilonzo_0 :
Daktari wa ofisini msaada tafadhali namna tunaweza keti
2026-07-19 20:54:55
1
Patricia :
Nimeipenda hii
2026-07-10 13:50:13
0
nanah queen :
yan mi nakupenda sn maana video zak zinanisem mm kbs sio mabeg yamedrop Nakaa sana sina core balance hip tightens kiun kuj mbel kutumia cm na laptop nimeinama yoooo unanisaidia sana nataka nichange....nipo na ww mpk mwishooo🔥🤍
2026-07-08 05:34:49
2
mdosi :
Asnte best kwa elimu
2026-07-10 05:28:09
1
JeyW :
waiting for the next one hii yangu kabisa
2026-07-10 15:10:11
0
apopy :
me natamani nkuelewe ila ivo vipija ndio vinichanganya😏
2026-07-22 17:11:00
1
Jemoh Otuni :
nifanyie moja ya kulala my dia please
2026-07-13 14:17:31
0
Leo Maxi :
Eti kwapa ni sehemu ya siri msaidizi🤣🤣🤣
2026-07-23 13:35:28
1
Angelo (baba allan) :
mmmmhhmm dr jamani attire yako hapo dooooh
2026-07-08 12:01:28
0
Patricia :
Namna nzur sasa ya kukaa ukiendesha gar
2026-07-10 13:50:55
0
Abdallah Shabani :
🤝
2026-07-08 15:21:49
1
Mwana Msingapoo :
😎😎
2026-07-08 06:53:13
1
To see more videos from user @dr.florence.kanozo, please go to the Tikwm
homepage.