@shemweta.story: Yanga SC inaendelea kusaka silaha mpya ya ushambuliaji kuelekea msimu wa 2026/27, huku jina la mshambuliaji wa Brazil Yan Sasse likitajwa kuwa miongoni mwa vipaumbele vya klabu hiyo kwenye dirisha la usajili.Kwa mujibu wa tetesi za usajili, viongozi wa Yanga SC wanafanya jitihada za kuinasa saini ya Yan Sasse, aliyemaliza mkataba wake na Espérance de Tunis mwishoni mwa msimu uliopita. Nyota huyo wa Brazil kwa sasa ni mchezaji huru, jambo linalodaiwa kuipa Yanga nafasi nzuri ya kukamilisha dili hilo mapema ikiwa mazungumzo yatafikia makubaliano. Endapo usajili huo utakamilika, Wananchi watakuwa wameongeza nguvu kubwa kwenye safu yao ya ushambuliaji kuelekea msimu mpya.

Shemweta Story
Shemweta Story
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 08 July 2026 10:22:27 GMT
12359
270
3
5

Music

Download

Comments

mtyumz6
young dele sho :
Yanga bingwa tenaaaaaaa
2026-07-10 07:23:28
0
yohana.julius74
Yohana Julius :
wenzetu pesa hawana mavi sasa hiiii
2026-07-11 07:55:36
0
jacob.barnaba7
Jacob Barnaba :
🥰🥰🥰
2026-07-08 18:28:44
0
To see more videos from user @shemweta.story, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About