Hamna bhana, kila biashara Ina Marketing method yake. Kuna classes za marketing kama B2B, B2C na vinginevyo. Kuna biashara ukifanya lenga final consumers kama soda, Maji, vyakula , lazima ufanye ads. Lakini kuna vitu vingine kama madini etc kuna kitengo cha marketing lakini wana enda directly kwa taasisi au kampuni kufanya pitching na offer sio lazim wafanye matangazo(traditional). So despite how big the company is wateja walengwa ndo wataamua marketing ikoje. Coca Cola unaeza kuwa valuble kushinda kampuni nyingi tu lakini lazima itangaze mtaani na media sababu target market ni final consumers
2026-07-08 17:00:55
67
NO CONTEXT :
na hizi ads za emirates insta? kwenye jezi?
2026-07-08 19:52:44
10
boss+ :
wengi wetu tunatumia wifi ya jirani 🤣🤣🤣
2026-07-08 18:31:38
12
Anna HerbalGlow :
😂😂😂 kwenye Tv nimevuka bado tiktok😁🤭 nihamie kwa kina ndege na meli
2026-07-08 12:08:35
12
BRO TIPS :
nshaona mataangazo ya ndege za Emirates kwenye TV mala nyingi,wabongo tunapenda sana kwenye kupotezana , nguvu ya Mainstream media bado ipo na hata nguvu ya hizi digital ndo kubwa zaidi, mfano hai watu wa football ⚽ tunajionea Qtary airways Kila siku tunaona zinapita kwenye advertise bar Kila siku so usitulishe matango pori bro
2026-07-08 17:34:24
1
Kusini Icon :
Nimecheka 😂, lakini umeungea logic sanaa
2026-07-08 11:10:21
6
Element msule :
Mwanang nakufollw
2026-07-08 22:13:00
1
carrick :
tutakufuatilia
2026-07-08 12:21:51
2
rose@spemba :
trueee
2026-07-08 11:38:22
2
Simba Mgiriki :
sasa bila TikTok ningeonaje huu ushauri wako?
2026-07-09 05:35:25
4
Aidanist George :
njoo LinkedIn
2026-07-10 14:30:52
1
Fundi ac za magari :
nimekuelewa mkuu🙏🙏🙏
2026-07-09 08:33:34
2
alan_o_fficial :
wauwweeee
2026-07-09 03:31:02
1
Praygod Hance :
fala sanaaa😂
2026-07-08 22:58:16
1
Coco interior design :
Ukweli kabisa
2026-07-08 18:28:04
3
Masanja Peter :
kaka leo umeenda mbali sana
2026-07-09 00:47:47
1
JAY-7 :
tunaona ia
2026-07-08 20:37:02
2
Joe batt wa nzambe🥁🔥 :
Kabisa 🔥🔥🔥
2026-07-09 07:58:10
1
Mr Electric :
umewaza kama mimi
2026-07-08 20:38:20
1
kamong'onya :
sas tukohama tik tok wew tutakuona wapi
2026-07-08 15:19:19
3
Lb Lazuba :
umeongea ukweli kabisa
2026-07-08 11:26:52
3
balutwa b.f :
good day mkuu
2026-07-08 10:50:07
2
@CEO :
hii inauma ila nmecheka sana😹😹😹😹😹😹😹😹
2026-07-08 11:04:02
4
To see more videos from user @bongoads, please go to the Tikwm
homepage.