@ukweliusemwecommunity: Utafiti ambao umefanywa na taasisi ya Pyschology societies umebaini kuwa wanaume wanao mshabikia messi ndo wanaume wano ongoza kuwa waaminifu kwenye ndoa na mahusiano yao ukilinganisha na wale wanao mshabikia Ronaldo. Taasisi hiyo inasema wanaume wanao mshabikia messi ni wenye msimamo ambao siyo wa kuyumba yumba kitu kinacho wafanya waonekane ni watu ambao husimamia kile wanacho kiamini kuanzia mwanzo mpaka mwisho mpaka kilete matokeo, na huwa wana amini katika uwezo. 🎯pyschology Societies Je unakubaliana na huu utafiti? #fblifestyle#mastoryyetu #sksport