@user7717347668185: Herufi hizi ni tukufu sana na ndani yake kuna katazo la kukaribiana baina ya jini na mwanadamu ikiwa utaziandika katika karatasi kwa zafarani kisha ukasomea jina hilo tukufu يا رحمن ×1063 YAA RAHMAAN mara 1063 unafusha na udi ukaweka.katika chego ya kitandani basi jini mahaba hawezi kukaribia na akijaribu atatandikwa kwa nuru kali ya moto ila pia hata mchawi hawezi kukukaribia ndani ya herufi hiz kuna siri adhwiim ya uzio ya vitu vtukufu vilivyotakata na vitu vichafu ambavyo havijatakata ambapo wala vitu hivyo havijawahi kuguswa wala kusogelewa na uchafu wa aina yeyote hasa tunakusudia kimwili na siri hii imo ndani ya quraan tukufu