Huyu dada mimi kanitia moyo na nguvu toka nimjue na kumsikiliza Haki ndoa yangu naiyona rahisi hakuna mfano Mungu akuwekee sana kipenzi🙏🏽🙌🏾 mitano tena😊🫶🏼
2026-07-08 19:03:06
530
Blessing :
🤣🤣🤣🤣acha ncheke miee ww dada www be blessed
2026-08-21 18:23:28
1
fetty love🥰 :
umenitia moyo sana asaiv kulia tunalia msiban
2026-07-09 06:06:23
267
Frimina massawe :
Tangu nizaliwe sijawahi kulia lisaaa😂🤣🤣🤣
2026-07-08 20:44:24
85
CHIOMA💋 :
Wakat naolewa Mme wangu alikua na mwanamke Kazaa nae afu kampangia jiran na nyumban kwake bas bhna me sikua na jua lolote nilikuta wifi zangu2 na mashemej 2 nikawa na family ya watu 6 bas wale ndugu wa Mme hawafanyi kazi ata1 nafanya kila kitu me wala sikua na shida kabisa kwa sababu me ndo mwenye mji nikaishi pale wiki1 kwa amani akaja mama mkwe wangu weeeeee mto ukawaka hakuna rangi sikuona yaan boda analeta mboga mifuko 2 mfuko mmoja unaachwa kwangu mwingine unaenda kwa yule dada😭ngoja nilie kwanza 😭
2026-08-06 13:00:02
26
lincyjane :
hii nimeipenda Ila mchepuko wa mme wangu ni mwalimu wa tuition na anajua jamaa kaoa sasa sijui nifanyaje
2026-07-08 20:24:38
39
Suzie💕 :
Dada vivi umenifundisha kuto kukurupuka sio kwenye ndoa tuu hata kwenye maisha sikurupuki toyota wangu weee nakupendaaaa💕💕❤️
2026-07-09 09:10:11
112
jnb life :
wapole na wacha mungu njooni
2026-07-08 18:38:45
55
karsmacollection :
Anywe ata peps Kama awezi kutengeneza iyo juice😅😅😅😅😅😅😅😅😅
2026-07-09 20:07:31
69
Pray everyday :
dada nakuona mara ya kwanza na nmekuelewa acha nikufollow
2026-07-09 16:39:29
50
💐25 January ♒ :
jaman mimi Mungu anisaidie nipate kazi tu niweze kujikimu mahitaji yangu hawa wanaume sitaman ata wapate muda wangu
2026-07-09 11:20:19
28
cheerful :
nimekuwa wa kwanza leo🥰🥰🥰
2026-07-08 18:29:16
37
user3736992107399 :
jaman da viva unaakili sana lakini kuna sisi ambao haturuhusiwi kushika cm zao zina password za kila namna mungu atutie nguvu
2026-07-14 15:36:48
5
user35619545691494 :
ila ww dada unanikoshoga jmn
2026-07-09 10:57:11
6
Anna :
Zingatia timer 😀
2026-07-09 05:43:17
6
magreth maji :
akili kubwaa sanaaa Mungu akutunze dihaaaaaa
2026-07-09 16:33:30
6
Mîsojî :
Ubalikiwe.umenifunzakitu🥰😂😂
2026-07-09 10:11:03
6
Mama G :
juice tamu kwa kwel😁
2026-07-08 18:38:48
23
Sumeiya Sameer :
ila dada umenichamba
2026-07-09 08:30:25
19
. :
havichelewi
2026-07-08 20:26:41
15
Dianathedresmaker :
collection na cosmetics wameanza😅
2026-07-08 22:37:20
16
Lyn_med💥 :
wapole na wacha Mungu,Asalaam Aleyke,Bwana Yesu Asifiwe,Tumsifu Yesu Kristo,Mwana kondoo Ameshinda,Shika neno(kherii,imekuaa)
2026-07-09 14:11:13
9
middy :
Da viva unaakili sana jmn mashallah
2026-07-09 04:35:50
17
To see more videos from user @mirrsviva, please go to the Tikwm
homepage.