@bongofive: @smsuva27 kupitia Podcast ya #B4TheFame amefunguka mbele ya @el_mando_tz kuwa kama Taifa tunakosea sana kuwategemea yeye na @samagoal77 Taifa Stars wakati inatakiwa wawe wachezaji wengi zaidi wanaocheza nje ya nchi ili Taifa kufanya vizuri kwenye michuano mbalimbali. Je, kwa maoni yako wewe unaona kama Taifa tunafeli wapi kwenye timu ya Taifa?? Kuangalia mahojiano kamili tembelea ukurasa wa YouTube Bongofive