@pascal_mushi12: Replying to @Davymakini_ Mambo ya ukitaka kupika unaanza kukata kata vitu inakuwa imeishia hapa🫸. #Foodtiktok #LearnOnTikTok #Recipe

Pascal's Kitchen
Pascal's Kitchen
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 08 July 2026 21:02:05 GMT
82299
1838
26
203

Music

Download

Comments

kizalendo.zaidi
Virgo✨️ :
Carrot nakaa nazo miezi mitatu na haziaribiki aisee jamani tafuteni vikontena wekeni tissue chini kisha carrot na juu weka tissue kisha funika kontena laki weka kwenye friji, mlete mrejesho hapa
2026-07-09 07:39:08
52
meshack.sumari
meshack sumari :
ila hapo chef usipo weka maji inakua more taste also you can use only tomato
2026-07-09 06:10:18
2
kiroche1
kiroche1 :
ahsante tunaomba video za sauce mbali mbali yani...ata 5 muhimu please
2026-07-08 22:50:05
6
tinnahjosphe
Brinny🦋 :
sasa kama huna frij c inaharibika yote
2026-07-09 05:03:27
3
vernie0_4
Vernie_4♡ :
baada ya hapo unaweka kwny frij au
2026-07-09 08:25:15
1
mpimbwe123
Ora💙 :
Hivi yellow mustard huwa inatumika kwenye nini?
2026-07-09 04:57:03
3
jyjuniorjemstz
KHARID JR :
jina la nyimbo
2026-07-09 05:58:38
0
manyamahawa
Eng H :
Usizioshe ukitoka kununua, funga kwenye vile vimfiko vya dukani hewa isipite. Znakaa hata 2 months. Nyanya ukitia kwenye fridge unaharibu unaweza pika tomato paste alfu gandisha nyingine tia kwenye fridge. Hoho huoshi pia Ila hufungi kwenye mifuko.
2026-07-09 03:17:28
5
goodluckimasamuel
Mwenda G :
❤️❤️❤️
2026-07-09 04:35:12
1
bossah__vanessa
bossah__vanessa🌹🌸🌻 :
😁😁😁
2026-07-09 06:04:24
0
goodluckimasamuel
Mwenda G :
🥰🥰🥰
2026-07-09 04:34:59
0
mina.chicc
mina.chicc :
🥰🥰🥰
2026-07-09 12:46:13
0
To see more videos from user @pascal_mushi12, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About