@nyebowsa_media: Anaitwa Sef Shaban maarufu Matonya "Tonyambili" Mwanamuziki mkongwe wa Bongo fleva ambaye anastori mbaya sana kumuhusu siku za hivi karibuni huko kwa majirani Nchini Kenya April 9,2026 Mwamuziki Matonya alishitakiwa na kufikishwa mahakamani katika eneo la Shanzu, Kaunti ya Mombasa huko Nchini Kenya akikabiliwa na shtaka la ubakaji Aprili 7,2026 Matonya alishitakiwa kumuingilia kwa nguvu mwanamke mmoja aliyefichwa utambulisho wake na Mahakama (G.J) katika jengo la Josy Joka Apartment huko Nyari na Kuswekwa Lumande kwa kitambo kirefu kidogo Lakini kwa Neema za Mungu Matonya sasa yupo huru na atakuwepo kesho July 10 kwenye Miaka 30 ya Bongo fleva pale Mlimani city #nyebowsamedia #tanzaniatiktok #kenyantiktok🇰🇪 #matonya #eastafrica