@journalists88: Part 35| Leo tunakumbuka moja ya hotuba za Mheshimiwa John Heche, Mbunge wa CHADEMA, alipokuwa akichangia Bungeni kuhusu masuala ya umeme na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Hotuba hiyo ilivutia wengi kutokana na namna alivyowasilisha hoja zake na kusisitiza uwajibikaji katika matumizi ya rasilimali za umma. Hoja alizozitoa wakati huo zilichochea mjadala mpana kuhusu changamoto za sekta ya nishati na utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Iwe mtu anakubaliana naye au la, hotuba hiyo ilibaki sehemu ya kumbukumbu za mijadala ya Bunge. Tazama video hii na ujisikie huru kutoa maoni yako kwa heshima, ukijikita kwenye hoja zilizomo na kuheshimu mitazamo tofauti. #creatorsearchinsights #chademaleo #viral #tanzaniantiktok

Unick Ngao |
Unick Ngao |
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 09 July 2026 08:21:31 GMT
55903
4251
77
277

Music

Download

Comments

ahmadgaudence
AHMAD GAUDENCE :
mwana siasa wangu Bora duniani
2026-08-21 17:47:02
5
user9620745115015
kwomeign🇰🇪🇰🇪 :
huyu angekuwa kenya ata angekua gavana wa kila mtu
2026-07-22 19:51:48
14
kisyerighati1
kisyerighati1 :
The great leaders in top ten among all Tanzanians leaders from independence up today. God bless him ( John Heche)
2026-07-11 14:07:17
9
rama66945
rama 32 :
mungu akulind
2026-08-19 12:13:05
2
promax.255
SKY VIEW* :
Huyu ni magufuli mwingine mungu mlinde sanaaa.
2026-08-03 04:09:59
5
nyanda058
paulo :
mbona ulitoka bungeni lakin?🙆🙆🙆
2026-08-20 01:19:59
0
user55184448685443
mr. laban :
Mzee ubarkiwe bahna daaa
2026-08-14 07:03:12
1
gimmy391
user2134738673881 :
Da hecha uyu jamaa anafaa kuwa rais
2026-08-01 06:59:29
7
anord.kemiaga
Anord Kemiaga :
heche nilichelewa sana kukujua najutia hilo
2026-08-13 10:40:33
3
harithnassor385
harith Nassor :
mungu akulinde sana mzee
2026-07-25 21:43:51
8
genius6353
YOBU 🫵 :
Mungu azidi kukutunza mheshimiwa heche
2026-08-18 23:37:45
1
joseph.jegu
Joseph jegu :
good
2026-07-09 09:09:38
5
halidiawezae
Halidi Awezae :
ok💯👍
2026-07-10 13:58:48
3
madii9030
madii :
mwamba 💪💪
2026-07-11 20:30:38
2
wilsonenock8gmail.com
Wilson Enock :
John heche🔥🔥🔥🥰🥰
2026-07-13 18:36:13
3
user9301651331612
jarema@ :
kazi ya bunge halisi
2026-08-10 05:29:30
1
usermboy199
@Mobutu🇫🇴🇰🇪 :
Great leader
2026-07-15 09:35:47
1
taon.lais
Taon Lais :
Mungu hakupe miaka mingi Utete Tanzania
2026-07-13 12:43:04
6
elly25927
Elly@25 :
watu tunao
2026-08-21 19:29:11
1
29kelvin3
@29Kelvin3 official :
👍👍👍👍
2026-08-21 21:06:48
0
asiahatun138
Asia Hatun :
mola akujalie maisha marefu
2026-08-22 07:14:59
0
emmanuelmuga102
Emmanuel Muga :
That's the one man Heche huyu huku Kenya nikama Sifuna mkweli bila uwoga wowote Nchi huitaji mtu wakusema ukweli kushtumu utendakazi mmbaya wa mmbunge seneta au rais mwenyewe....... 🙏💪💪🤔🫡💯
2026-08-21 20:34:18
0
baraka.samsoni38
MBONDO CLASIC :
2026-08-22 07:30:02
0
hussen.amidu
@huseinhamidu :
hii niazina yataifa ila watawala hawataki watu wenye akili kama hawa kwasababu wanasema ukweli
2026-08-01 17:46:07
0
To see more videos from user @journalists88, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About