me mtu akiwa anamsifia messi tu lazima nimfollow😂😂😂
2026-07-10 06:49:49
122
mstaafu :
Ronaldo mwenye akiwa mazoezin anajiita mess
2026-07-09 22:30:50
106
ramah_sana :
2014 world cup hukuwa namacho wew
2026-07-10 04:58:48
12
Breezy :
kaka Kwan 2011/2012 ulikwa unaangalia Tenes
2026-07-09 22:37:00
26
ambakabigi :
mimi fainali ya uefa kati ya baca na man u 2010 ndo nilijua mesi sio binadam wa kawaida
2026-07-09 22:35:40
24
lapulga :
lapulga for life 💪💪💪
2026-07-09 21:16:25
3
David Juma :
Kwani wewe umeona Messi juzi jamani,, Messi akiwa 20s alikuwa stima nani
2026-07-10 08:45:18
1
max :
Nenda kamuangalie Messi mwenye miaka 23 adi 27 apo ndo utajua kua Messi sio binadamu
2026-07-09 19:19:57
13
LegendsRewinds :
tatizo ulianza kushabikia mpira wakati messi yupo psg
2026-07-10 08:44:16
8
taisondinatai :
daah umechelewa sana kujua pole sanaaaa
2026-07-10 08:01:48
7
Kenny :
mimi nilikua shabiki mkubwa wa Ronaldo ..ila kombe la dunia la Qatar lilifanya nimkubali Messi na kuanzia hapo nikawa moja ya mashabiki zake wakubwa na nilianza kumfatilia ...kwasababu kabla siku namkubali tena sana
2026-07-10 03:52:09
8
@benjaminimwalimu3gml. :
kweli messi ni hatar sana
2026-07-09 12:15:36
9
Job Mapesa Tz :
umechelew sana. kumjuaaaa
2026-07-10 07:47:31
3
karisto10 :
kaka umechelewa sana kugundua hilo swala pole sana
2026-07-10 05:54:57
4
T,n,w :
pole sana coz umechelewa ungemuona akiwa barca acha 2
2026-07-10 05:03:05
6
Don :
basiiii umechelewa sana
2026-07-10 04:23:57
2
#KエNG_SULƸ̵̡└|👑💥🤍 :
ni kweli nimeenda kuangalia bhana
2026-07-10 03:55:29
2
Ally jinnan35 :
messiii🔥🔥🔥
2026-07-09 22:29:40
3
Ivan yahya :
messi ni jeshi la mtu mmoja 💪🔥
2026-07-10 03:35:47
2
EddyWilfkayombo🥚🐓🇹🇿🇹🇿 :
sawa
2026-07-09 09:26:36
2
juhaina :
uhakikaaaaa messi ni goat🥰
2026-07-10 16:53:04
0
Hongoa Issa :
mashabiki wa mzee Ronaldo hawawezi elewa
2026-07-10 17:40:04
0
Lucky Gb :
naku follow now
2026-07-10 15:13:30
0
JACOB MASALU JOSEPH :
kweli kabisa
2026-07-10 14:16:58
0
PdkOfficial :
uko sahihi
2026-07-10 01:51:57
0
To see more videos from user @jmtv_tz, please go to the Tikwm
homepage.