aki umenifikia mm paster,,,ndio maana sipendi kuongea Sana,,lakini nichokoze nitatumia nguvu sio mdomo👏👏👏
2026-07-10 07:39:43
8
Hussein Omariy :
kweli tunao amin kimya pont donga like ap
2026-07-09 20:44:34
30
Lillies Ng'anzi :
huyu ni mimi jamani sijui kujitetea nitaishia kutabasamu tu au kulia.,ila nikitoka hapo maamuzi nikiamua sigeuki nyuma aisee hata waite nani nikiamua nimeamua🥺na nikishalia tu nasamahe ila nikiondoka ndo basi
2026-08-21 10:00:05
2
kobusinge 9 :
umesema kweli pasta
2026-07-28 21:12:41
2
🍏🍏 :
Yani mimi kuna watu leo wameniudhi nimewanyamazia sana leo nimewachana nadhani wamenielewa
2026-07-30 09:51:49
1
Rose Mkonde :
kabisa
2026-07-17 08:54:38
1
strong woman 👌🥀🌹 :
fact na ilo ndilo neno la Leo Ameen
2026-07-18 07:08:01
2
Happyness Stephano :
mimi hapa mkimya sana jamani
2026-08-05 08:09:18
1
Tungibwaga Ikusi :
mungu akubariki
2026-07-11 10:21:11
0
Ocs Godwin :
Ukweli kabisaaa 🙏🙏🙏🙌
2026-07-17 17:31:11
0
queen shanty💕💦💕 :
God nifunze kunyamaza
2026-07-14 19:25:12
1
Rehema Mrope :
nimewadharau ndo maana kimyaaaa
2026-07-17 19:36:42
0
Hellen johnson :
Mm Kuna mdada alikuwa ananichokoza ila mm nilikuwa kimya nilikuwa busy na kaz zangu anaongea maneno ya kunishenteka juz tu nimemfany kitu
2026-07-28 18:46:46
0
gatty :
Amen Baba ni Mimi Asante
2026-07-23 10:39:22
0
user1183000260191 :
kweli m2mishi
2026-07-23 14:51:31
0
Rey quty :
Asante baba mungu tutangulie tukikaa kimya tunaitwa jeur,kibri mjinga, mungu ndye anaejuwa yote nimekuelewa sana m2mishi🙏🙏🙏😭
2026-07-18 06:43:15
1
MAMA MCHUNGAJI STEVEN :
nashukuru sana kwa ujumbe
2026-07-10 18:03:04
1
aziza@tz :
hakika kabisa yani ukimya ni jibu mbele ya mtu asiyejua thamani yako.
2026-07-25 18:39:22
3
irenemusangi435 :
ukweli baba ubarikiwe sana somo zuri🙏🙏
2026-07-12 17:31:55
1
lumière ishara :
iko kweli kabisa baba
2026-07-15 16:57:45
0
feytrends Tz :
Kabisaaa Baba
2026-07-15 02:54:03
1
To see more videos from user @pastorstany, please go to the Tikwm
homepage.