@kotshredera: Карлос и Джилл бегают туда сюда смотреть 10 часов #residentevil #jillvalentine #carlosoliveira #re #fyp

🀥 ᴋᴏᴛ϶𓆝 𓆟 𓆞 𓆝 𓆟
🀥 ᴋᴏᴛ϶𓆝 𓆟 𓆞 𓆝 𓆟
Open In TikTok:
Region: US
Thursday 09 July 2026 16:13:55 GMT
25711
6026
67
1189

Music

Download

Comments

oparzxs
опарыши :
а Карлос мужык💪
2026-07-09 23:55:10
346
smbati1
Romeo :
карлос мужык 💪💪
2026-07-10 00:52:24
183
arsexv
кетузик :
Карлос мужыыык💪💪
2026-07-11 09:04:59
92
tottenham_jr_06
is :
А Карлос мужыык💪💪
2026-07-09 22:33:41
109
victor1337.am
Виктор_1337 :
Карлос мужык💪👍👍
2026-07-15 15:47:38
3
tsapupuok
Carlos Tsapupov :
А я мужык 💪💪
2026-07-10 16:52:03
22
moonikaxdd
🏹フォルタオナ🪽 :
а Карлос мужык 💪
2026-07-15 11:06:53
3
ksat3z1s
ksat3z1s :
Карлос мужык 💪
2026-07-10 10:27:43
15
eitherena
eitherena :
марлос кужык💪🏻
2026-07-11 01:18:49
10
goodynai.goody
𝐺𝑜𝑜𝑑𝑦𝑛𝑎𝑖 / 𝟏𝒎𝒎𝒔 :
АХАХАХ,ЭТО ИДЕАЛЬНО
2026-07-09 17:08:21
32
serjjsoad
𝔣𝔞𝔤𝔢𝔱 :
Карлос мужык💪💪
2026-07-10 09:41:22
17
ksyerror
Prowl@ :
Карлос мужыыыыыык💪💪
2026-07-14 20:17:47
2
767ilushka
767Illushka :
А Карлос МУЖИИИИИК💪
2026-07-11 18:40:03
8
prostosmotrimvideo
prostosmotrim :
автор я тебе руки целовал за такое прекрасное видео теория идеально подобранного звука
2026-07-12 13:56:15
2
ruslo40
демо эпл :
карлос мужык💪💪
2026-07-10 12:33:34
10
mawachka.aep
клэр редфiлд [mawachka] :
карлос мужык 💪💪💪💪💪
2026-07-10 19:06:19
5
vanya_midnight67
ваня миднайт 67 :
карлос мужык 💪💪
2026-07-10 11:02:22
10
donquiexotecorazon
NeexTer :
А Карлос Оливье мужыыыыкк💪
2026-07-15 07:42:47
3
ydh_gf
Джек Подрочитель69 :
Го крис и шева
2026-07-11 18:26:53
3
twezizz
раб негров :
лучший эдит по резику 3, еще и карлос мужык💪🏻
2026-07-12 15:08:59
4
_ghost_090
^°🍒🎲フΨ°^ •PeaCH! (川┗ゝ┛川)@ :
Карлос мужык 💪💪💪💪💪
2026-07-10 20:00:56
5
To see more videos from user @kotshredera, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

'Tulijinyima kwa Ajili ya Wananchi' – Koola Azungumzia Uamuzi wa Kununua Mitambo ya Barabara MOSHI, KILIMANJARO:  Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Enock Koola, amesema uamuzi wa kununua mitambo ya matengenezo na ukarabati wa barabara kwa ajili ya majimbo ya Vunjo na Moshi Vijijini umetokana na dhamira ya viongozi kuweka pembeni maslahi binafsi na kuelekeza rasilimali katika kutatua changamoto za wananchi. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mtambo wa kwanza wa graderkwa ajili ya matengenezo ya barabara za ndani, Koola alisema mradi huo ni utekelezaji wa ahadi waliyoitoa kwa wananchi wakati wa kampeni za uchaguzi, baada ya kubaini kuwa miundombinu mibovu ilikuwa miongoni mwa changamoto kubwa zilizokuwa zikikwamisha maendeleo ya wananchi.
'Tulijinyima kwa Ajili ya Wananchi' – Koola Azungumzia Uamuzi wa Kununua Mitambo ya Barabara MOSHI, KILIMANJARO: Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Enock Koola, amesema uamuzi wa kununua mitambo ya matengenezo na ukarabati wa barabara kwa ajili ya majimbo ya Vunjo na Moshi Vijijini umetokana na dhamira ya viongozi kuweka pembeni maslahi binafsi na kuelekeza rasilimali katika kutatua changamoto za wananchi. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa mtambo wa kwanza wa graderkwa ajili ya matengenezo ya barabara za ndani, Koola alisema mradi huo ni utekelezaji wa ahadi waliyoitoa kwa wananchi wakati wa kampeni za uchaguzi, baada ya kubaini kuwa miundombinu mibovu ilikuwa miongoni mwa changamoto kubwa zilizokuwa zikikwamisha maendeleo ya wananchi. "Ndoto hii ilianza wakati wa kampeni za uchaguzi tulipokuwa tunatembea mguu kwa mguu na wananchi. Tuliwaahidi tutatafuta suluhisho la changamoto ya barabara za ndani, na leo kwa neema ya Mungu tumeanza kutimiza ahadi hiyo," alisema. Mbunge huyo alisema yeye pamoja na viongozi wenzake walifanya uamuzi wa kujinyima ili kuhakikisha fedha zinaelekezwa kwenye ununuzi wa mitambo itakayowanufaisha wananchi kwa muda mrefu badala ya matumizi mengine ambayo yasingekuwa na manufaa mapana kwa jamii. "Imetubidi tujinyime kwa ajili ya wananchi. Kipaumbele chetu kilikuwa kuhakikisha tunapata mitambo ya kutengeneza barabara, kwa sababu tuliona ndiyo hitaji kubwa la wananchi wetu," alisema. Koola alieleza kuwa hatua ya kwanza imehusisha kuwasili kwa mtambo wa grader, huku awamu zinazofuata zikitarajiwa kuleta mitambo mingine ikiwemo excavator, ili kuongeza uwezo wa kufungua barabara, kusafisha mifereji na kuboresha miundombinu katika maeneo mbalimbali ya majimbo hayo mawili. Alisema mafanikio ya mradi huo yatategemea pia ushiriki wa wananchi, ambao wameombwa kuchangia gharama za mafuta, moramu na posho za waendeshaji wa mitambo ili kuhakikisha kazi zinaendelea bila vikwazo. "Sisi tumetimiza sehemu yetu kwa kuleta mitambo. Sasa tushirikiane kuhakikisha inafanya kazi kwa ufanisi ili barabara zetu zipitike mwaka mzima," alisema. Mbunge huyo alitolea mfano mafanikio yaliyopatikana katika eneo la Kiriweni, ambapo wananchi walifanikiwa kuchangisha zaidi ya shilingi milioni 600 kwa ajili ya kuboresha barabara, hatua iliyowezesha barabara hizo kupitika katika vipindi vyote vya mwaka. "Kiriweni ilituonyesha kwamba maendeleo yanawezekana pale wananchi na viongozi wanapounganisha nguvu. Leo barabara zile zinapitika wakati wa mvua na wakati wa kiangazi, na hata miundombinu mingine kama taa za barabarani imeboreshwa," alisema. Alisisitiza kuwa uwekezaji katika barabara si kwa ajili ya kurahisisha usafiri pekee, bali pia ni msingi wa kukuza uchumi wa wananchi kwa kurahisisha usafirishaji wa mazao, upatikanaji wa huduma za kijamii na kuvutia fursa za maendeleo katika Vunjo na Moshi Vijijini. Koola alihitimisha kwa kuwataka wananchi kuilinda mitambo hiyo na kuendelea kushirikiana na viongozi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, akisema mafanikio ya mradi huo yatategemea mshikamano na uwajibikaji wa kila mmoja. "Mitambo hii ni mali ya wananchi. Tukiitunza na kuitumia kwa malengo yaliyokusudiwa, tutakuwa tumefungua ukurasa mpya wa maendeleo ya miundombinu katika Vunjo na Moshi Vijijini," alisema.

About