@magarimaarufu: Wana Magari maarufu Muiteni hapa @ruge_magari hapa anatamba sana na LC 300 alete hapa aone mzee wa #GTR nitakachomfanya mimi nitakuja na #2GR stock Anipe Location na Muda mi nitasogea. #LC300 #Crown #magarimaarufu

magarimaarufu
magarimaarufu
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 09 July 2026 16:31:35 GMT
32681
2083
123
161

Music

Download

Comments

kenny.wrld.999
Cactus Jack 🌵 :
Msifananishe Hiyo Crown Yenu Ya 260 Na LC300 Wazee LC300 ni Moto 🙌🔥🔥🔥
2026-07-10 10:59:52
1
samwelchiwaligo
GioVanY# :
😂😂😂MANZUNGUMZIA LC300 hiihii au WAZEE IV MNAUJUA MOTO WA LC300
2026-07-09 23:47:29
7
___d06_
. :
Wakt ww umeweka sport mode lc300 anaweka eco mode na humpati.
2026-07-10 03:23:12
10
hajilubwaza
Haji Lubwaza :
Hapana chalii wangu v 6 and twin turbo series
2026-07-09 20:57:50
0
greatness..09
Greatness :
dashboard aftermarket 😂
2026-07-09 17:53:25
0
shadyxon
🍀🍀B.I.G.M.A.N 🍀🍀 :
According to chat gpt
2026-07-09 18:03:05
0
husseinshaweji
Labonta 🤩🤩 :
msifananishe na lc300 na vitu vya ajabu jaman😂
2026-07-09 16:37:42
14
mwanza.best
Mwanza Best Tz🇹🇿 :
Ila watu wa Crown tuna Viburi jaman🙌🏽
2026-07-10 04:20:36
4
danirto96
danirto96 :
hatakama atujui magari kweli lc 300 v6 twin turbo na crown daaah v6 2006 sawa
2026-07-09 20:55:54
3
ipyana01
ipyna :
Zaidi ya 5 seconds😁. Pamoja haijaanzia from scratch 0km/h. Imeanzia 20+Km/H napo pia sio 5 seconds, imetumia like 7+seconds. Ukweli mchungu😁. Kwa hapa bongobongo tulizonazo wananchi wengi labda Subbie Wrx sti, Fozzy sti SG9 na Sh9 zote hizo stock zita outperform lc300 petrol, ila battle kali. Ila kwa hiyo crown, noooo(hapana), haiwezani, labda basi tuseme mguu wa dereva hapo ulikuwa mzito😂. But all in all 2gr ni 🔥🔥 300+Hp
2026-07-10 06:30:58
1
mpombo111
Effendi 🇹🇿 :
Yana hata kama Crow itakua na spend limit laki 5 lakin kumpata LC 300 ni ndoto
2026-07-10 09:11:23
1
adeliuskilizostom
Adelius Kilizostom :
wasenge nyie mnaijua LC300 msiiringanishe na iyo crown yeu iyo kaka
2026-07-10 05:13:51
1
aaryanking_tz
Mudran :
Kwenye maisha yangu nikisikia gari inaitwa land cruser tu najua uhakika wa safari upo
2026-07-10 04:52:46
4
philip2696
reacher :
hii imetoka Singapore?
2026-07-09 17:46:44
2
ockytz
ockytz :
mnamaanisha mnataka kushindana na hii ndege ya chini et, sawa wanetu safari njema
2026-07-10 03:21:24
2
ramadhan.juma303
Ramadhan Juma :
iyo crouw mbona sijawahi kuiona yenye spidi kubwa kama iyo crouw zote zinaishia spidi 180 eti wakubwa nyie mnamaonigani?
2026-07-10 05:25:57
0
allyvani21
Ally Vaniquizy :
mimi jamani nawaombeni sana sana mwenye LC300 anipe mimi ndio niwe dereva hzi dharau zitaisha
2026-07-09 18:01:28
2
lameck2290
@0fficialthedontajiri :
some fact hiyo bro Kasi ya juu (top speed) → 2GR inakimbia zaidi kuliko LC300.Nguvu ya kuvuta na barabara mbaya → LC300 ina nguvu zaidi kwa safari ndefu na mizigo.Ukiwa mjini au barabara nzuri, 2GR itakimbia zaidi. Ukiwa safari za Morogoro–Mwanza na barabara mbaya, LC300 ndiyo mshindi kwa nguvu na uthabiti.
2026-07-10 07:10:04
1
san2662008
SAN6 :
kaka nisaidie watu wani follow
2026-07-09 16:36:10
0
mashishabland
mashisha:bland! :
Hawezi uwo moto
2026-07-09 21:22:28
1
haji.gavan.g12
Haji Gavan G:12# 🧸🧸 :
Kaka tuna taka kuona iyo ligi live
2026-07-09 17:19:17
2
salimntillah
salimntillah :
singapore Model....
2026-07-09 17:47:48
1
appleuser85797919
Iamdrey :
Iyo speed na hamja vaa ata mikanda 😁
2026-07-09 19:50:37
1
bensons7mimi1
Ima chawala :
mhh lc 300 hamja ijua bado ,,crown kwa shockup zip break zip ,,,taili zip zaku shindana na lc 300,,iyo crown ni bora ukishinda nisha na crown nyinginee ila sio lc300 ,,,kwasababu izo zipo 10 kwenye lc moja
2026-07-09 23:49:12
1
drizzyjonathan
Joo :
Crown ni moto mwingine asee lc 300 haifati hapo naomba crown majesta ndio irecord hilo pambano Ruge akiwa anachapwa
2026-07-10 12:05:07
1
To see more videos from user @magarimaarufu, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About