@jamiivoice_: HABARI: Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, John Mnyika amekitupia lawama kali chama cha Act Wazalendo kukubali kuingia kwenye maridhiano na Chama cha Mapinduzi(CCM) kwa upande wa Zanzibar akieleza kuwa ni usaliti wa harakati za upiganiaji haki. Ameyasema hayo leo Julai 10, 2026 wakati akizungumza na wanahabari jijini Dar es salaam
Zanzibar ilikuwa mbele, ipo mbele na itakuwa mbele ktk maendeleo ya kisiasa. CHADEMA jifunzeni kutoka kwetu msijione mnajua
2026-07-10 13:25:45
3
Mr Mtu Kwetu :
kwani Tanzania kuna chama cha upinzani kinachoweza mapambano?
2026-07-10 14:37:30
0
alfa :
Hizo kesi za ugaidi na uhaini tunazo kwenye kumbukumbu zimeshapitwa na wakati. Ni mtajie wahaini kidogo: Maalim Seif Shariff, babu Juma Duni na wenziwe 18 na mimi nilikutana nao nikiwa mahabusu.
2026-07-10 13:28:04
0
To see more videos from user @jamiivoice_, please go to the Tikwm
homepage.