apa mama amefariki uyo bint kakabiziwa mdogo ake amlee ee mungu msimamie
2026-07-11 14:34:43
166
merci shadadi gmail :
oooh zambee
2026-07-12 07:43:47
0
abbyaidan@ :
M/Mungu nimeiyona hii nimelia sana yule wakwangu aliniacha nikiwa mkubwa hivi lakini naumia mpaka leo, Mungu nakuomba ukawalinde hawa watoto pamoja na Baba yao ukampe riziki Mungu wangu usimpungukie aweze kuendelea kuwalea watoto wake, na uwape hawa watoto mtu sahihi wakuwalea kwa upendo kama alivyokuwa anawalea Mama yao, na ukawashike kwa mkono wako wa kuume wahaki yako ukawaepushe na kila baya,Baba yangu wa mbinguni, nauwawekee malaika wazamu wawalinde na Roho mtakatifu akawe pamoja nao kila iitwapo leo,Asante Mungu kwa kila jambo maana ulituambia kwenye neno lako la Wathesalonike nasi tunakushukuru kwaajili ya hili pia Asante kwa yote, na bado kwetu utabaki kuwa Mungu.
2026-07-11 08:00:03
227
Habamungo Frederick :
pole saaana
2026-07-11 05:00:55
1
HUMBLE MAN PEACE 🙏 :
Aisee so sad
2026-07-12 07:27:18
0
Sophy 678 :
Nani hajelewa kama mm
2026-07-11 09:58:46
293
Eurasme mambunza :
mt ambaye haukuelewa kinacho endeleya hapa uliza jibu iko 😭🙏
2026-07-11 09:34:00
52
Baraka kabugwe :
mbona mimi sielewi nini kinaendelea apo
2026-07-11 04:18:23
120
goddy wekx :
I don't understand what is happening
2026-07-12 07:40:03
1
Jes Mul2 :
😭😭😭😭 Mungu baba, patiya ba mama Maisha marefu tuleye watoto wetu🙇♀️
2026-07-11 02:56:40
131
Maman mwamini :
maman ali fariki aka acha watoto 😭 apo watoto wana rizi bya mama😭 mungu atu fariji😭
2026-07-11 19:43:58
17
redemtajustus :
Ee Mwenyezi Mungu Kwaajili ya Wanangu nipe umri mrefu niweze kuwalea mpaka pale wanakapoweza kujipambania wenyewe🥹😢😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
2026-07-11 17:34:27
86
Merina Josephat :
God bless you
2026-07-11 12:27:27
1
BRINA🧕 :
what happene my TikTok
2026-07-11 11:44:45
1
charismatique :
Seigneur, accorde à toutes les mamans une longue vie, une bonne santé et la grâce de voir leurs enfants grandir, s'épanouir et accomplir leur destinée. Amen. 🙏🏼
2026-07-11 05:11:46
69
Humble girl, :
Mungu naomba maisha marefu kwaajili ya mwanangu
2026-07-11 08:14:49
30
Omberto Claude :
Mungu tuonee huruma Baba, tuongezee siku za kuishi kama Ezekia
2026-07-11 04:18:56
93
Neema seleman :
umlee vizur mdgo ako na ummepende kama mama ako alivyokuwa anakupenda wew na kuombea kwa mungu akawa mtoto mzuri na uwe mtoto wa maombi sana 🥺🥺
2026-07-11 14:02:45
34
FETTY🦋 :
mwenyezi mungu watie nguvu watoto maumivu makali sana nashindwa kuvimlia😭😭😭😭
2026-07-11 06:56:54
13
zaina :
Nimeshindwa kuvumilia😭😭😭😭
2026-07-11 08:24:26
10
tuliakibona23 :
mungu naomba maisha marefu niwalee watoto wangu.
2026-07-11 18:47:01
5
king.R.Tarimo🌹🌹🌹🌹 :
Dar. Mungu baba tunaomba Roho ya uvumilivu
2026-07-11 12:58:18
5
phausta :
jaman mbona sielew nini maana yake apo
2026-07-11 06:07:48
35
Morgan JJJ :
Mungu shunga awa watoto wa kuwe watu wakubwa kesho AMEN
2026-07-11 05:59:18
20
To see more videos from user @mwamini039, please go to the Tikwm
homepage.