@mshauri_kazini: ⚖️ Kusitisha ajira si uamuzi wa hiari wa mwajiri. Kwa mujibu wa sheria za kazi za Tanzania, kusitisha ajira kunapaswa kuzingatia mambo mawili muhimu: ✅ Fair Reason – Lazima kuwe na sababu halali na ya haki ya kusitisha ajira. ✅ Fair Procedure – Lazima mwajiri afuate utaratibu wa haki, ikiwemo kumjulisha mfanyakazi tuhuma au sababu, kumpa nafasi ya kujitetea, na kufanya uamuzi kwa kuzingatia sheria na kanuni husika. Ukikosekana hata kimoja kati ya hivyo, kusitisha ajira kunaweza kutafsiriwa kuwa unfair termination na mwajiri anaweza kuwajibika kisheria. 📚 Fahamu haki zako, zingatia wajibu wako.#kazinikazi👊👊 #elimu #fyp #tiktoktanzania🇹🇿 #sheria

Mshauri Kazini ⚖️ 📚
Mshauri Kazini ⚖️ 📚
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 11 July 2026 07:37:05 GMT
4833
48
4
5

Music

Download

Comments

user7016686557933
Mdm Connie :
I see
2026-07-11 14:57:56
1
gitabeka
gitabekamakeja :
[Sticker] 🤝
2026-07-11 14:15:31
1
davidmasinde586
David Chibuga :
big up kaka
2026-07-12 20:30:03
1
To see more videos from user @mshauri_kazini, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About