@bongofive: Katika show ya Usiku wa Jana kwenye Miaka 30 ya Bongofleva msanii @mrnicetanzania mitandaoni utumbuizaji wake kwa siku ya jana amekuwa akisifiwa zaidi na watu na wengine wakidai kuwa yeye ndiye Man of the Match wa Show hiyo. Je, unadhani performance ya msanii gani Ilikuwa Kali kumzidi Mr Nice??
Bongofive
Region: TZ
Saturday 11 July 2026 15:13:16 GMT
Music
Download
Comments
JB Lonzo :
Mr nice 🔥🥰🥰
2026-07-13 14:59:21
0
Mr.Goodluck Msanga :
Aliye trend ndy man of the match '""MAMBA"" DUDU BAYA
2026-07-13 17:07:44
0
@ S C O T T BRANDY 🇿🇦💫💫 :
Mr nice ndo nani
2026-07-13 18:00:54
0
fadhili haule 961 :
sir nature ndio man of the match
2026-07-12 08:53:31
0
Jacko Di Caprio :
yee mwenyew kaisaau nyimbo yke hakika wahenga tumefurah
2026-07-11 16:13:45
74
Khalif abdi farah :
The king of Bongo Music
2026-07-12 07:41:39
1
haines ngaponda :
mondi wa miaka yetu
2026-07-12 08:13:07
20
Veronicah :
hii nyimbo ina itwaje jaman kwa anae ijua aniambie
2026-07-12 07:53:04
11
Opunde Jnr☑️ :
king of Bongo
2026-07-12 05:19:16
2
Hassan Fundi :
kumbe uyo ndio MR NICE nilikuaga simjui
2026-07-12 13:46:13
6
ummy 🥰 :
mwenye nyimbo mwenyewe kaisahau mimi nani
2026-07-12 14:08:57
11
khalidimaghambo :
mzee wangu kiuno sio kama cha zama zile😁😁😁
2026-07-13 13:41:36
0
kjk mtt w masharubu :
hii nyimbo mpaka leo bado haishihathi
2026-07-11 19:43:55
22
user9193988613674 :
daah..enzi tunaenda kuangalia tv Kwa jirani🔥🔥🔥🔥🔥
2026-07-12 08:14:20
7
Aunty Ominde :
kwani amesahau
2026-07-12 09:39:37
1
Fikiri Daudi :
uo ni ukweli kbs mm nilifuatilia mpaka mwisho wa tamasha katisha sana broo
2026-07-11 16:37:59
13
user4815816181700 :
amna vipi kwa nyota ndogo
2026-07-12 18:17:16
1
Jo Shua Jr :
Wakati wetu watoto wa elefu mbiri pole kwa ma piano yenu❤️❤️❤️
2026-07-12 18:30:02
1
tanya :
wee chila ndio aliuwa🥰
2026-07-12 01:05:13
1
angel :
Gnz hawajali kinachoendelea
2026-07-11 18:21:15
2
Da T :
ww tundaman ft spack jaman duu
2026-07-11 21:56:00
1
To see more videos from user @bongofive, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.