@sospeter_owuor: Kuna disadvantages niyingii sana wageni wakishikilia fursa za export business kwenye mazao. Tujitahidi kutafuta maarifa sahihi na sisi tuwekeze kwenye hii sector. #exportbusiness #coffeeexporters #investmentknowledge #tanzcoffeetradingcompanyltd
kwa experience yangu katika export business especially horticulture 80% ni wage ni ndo wanafungua makampuni nchini wazawa tunaachwa nyuma. opportunity ya wazawa kuwa kwenye hii industry ni kubwa sanaa
2026-07-12 13:17:39
1
jcolyvas :
Brother ni sahihi lakini bado kuna changamoto baina ya taasisi na wapambania fursa, natamani sana kama hili gap lionekane mapema.
2026-07-11 22:24:58
1
To see more videos from user @sospeter_owuor, please go to the Tikwm
homepage.