@siasatz: "Kama maamuzi yasingebadilika Nyerere angezaliwa Kenya na asingekuwa Baba wa taifa la Tanzania." Haya wazee wa Legal History tuendelee kuchukua notes kutoka kwa Prof. Palamagamba Kabudi. #SiasaTZ #SiasaZetu #TheShepherd30 #LegalHistoryTZ #MaktabaYaMaarifa