@surveyor_mligo_simon: Unaponunua Ardhi, sio salama kulipa kwa pesa taslim yaani CASH, utaratibu wa sasa ni lazima malipo ya kununua ardhi yafanyie kwa miamala inayoweza kuwepo kwenye kumbukumbu za kidigitali mfano bank na kupitia mitandao ya simu. Na tamko hili linaenda kuanza kuto kubali uhamisho wa milki ambao hauna ushaidi wa malipo ya Kidigitali. USILIPE KIWANJA KWA CASH Kutoka SMS #mtaalamuwaardhi 0753846754 #uhamishowahati #transfer #elimuyaardhi #hatimiliki