kusoma sana sio mafanikio.kusoma ni kitu kingine na mafanikio ni kitu kingine.
2026-07-13 03:40:36
86
Arnold Ngonyani :
Kama una PhD basi nadhani PhD yako haikusaidii, umeshindwa kujua nini maana ya mafanikio, tofautisha kati ya mafanikio na utajiri. Sio kila mtu anaona utajiri kwake ni mafanikio, mafanikio ni kupata kitu ambacho hukuwa nacho hata mimi nikipata mshahara wa PhD ni mafanikio yangu binafsi.
2026-07-12 23:14:42
41
venaaaaa :
asantee mola Kwa kuishia dalasa 3
2026-07-13 03:33:07
20
user9703850088685 :
Alhamdulillah nimeishia form4 lkn nina makampuni na nimeajiri wasomi
2026-07-13 08:36:16
7
AMANI• #PC#√*$€G :
Ujuz ni muhimu sana
2026-07-12 17:13:17
28
KC :
Waliosoma sana ndio mwisho wanakuwa hamna kitu
2026-07-12 18:22:42
27
Nassoro Mkwanje :
Kusoma unaishi kwenye principles and reasoning
2026-07-12 17:43:22
9
D. :
Mbna Samia amesoma sana na leo ni Rais
2026-07-13 04:19:32
11
Sabygirl😘 :
nikweli jaman tupo nyuma kuendekeza shule jaman🙌🙌
2026-07-12 18:05:05
12
+Child of God+ :
wasomi Hiii....
2026-07-12 16:37:49
8
ndayata :
kusoma sana sio tatizo tatizo ni vile tunavyo visoma sana
2026-07-13 04:46:34
5
Emmanuel.mgema.kaswa. :
poiti sana mkuu
2026-07-12 16:07:17
12
manenofabian :
point kabisa hii mkuu
2026-07-12 09:30:20
12
kidd🤍 :
Acheni kuwapa watu wajinga umaarufu,, lengo kuu la elimu ni kusaidia watu,,pili wewe ndiyo utaamua hiyo elimu yako ikupe mafanikio… ila siyo kusema walio soma hawafanikiwi
2026-07-14 14:55:36
2
drizzy_de_sir'ning'o :
Ukweli mchungu📌📌📌
2026-07-12 19:08:29
4
Kivu fit nation 🏋️🇨🇩 :
Elon musk 2 diplômes universitaires en physique et économie
2026-07-12 17:47:54
4
Ngonifaceless channel :
Tatizo hatujui Mafanikio nini?
2026-07-12 17:26:20
7
energies :
asante Mungu kwa ku maliza darasa la saba 7
2026-07-13 06:50:40
2
am14578 :
kwenye hii dunia sio kila mtu yuko.motivated na pesa tu
Ndio maana kuna mapadri na masista wenye Phd wakihudumu kanisani
Satisfaction and happiness sio uniform kama ya shule
Kila mtu ana yake
Yuko atoshekaye na mshahara ti hataki stress za biashara anataka guaranteed income ya kila mwezi basi
Wako matajiri wakubwa mno wana mabilioni hasa wahindi lakini hawajengi nyumba za kuishi binafsi hata siku moja wanaishi nyumba za kupanga za msajili wa majumba lakini wanaridhika wakati kuna mswahili bila kujenga nyumba yake anajiona hovyo kabisa
Maisha tusipangiane kila mmoja aishi ya kwake
2026-07-13 09:55:03
4
motomoto kumalija :
uhakika kabx
2026-07-12 15:23:38
5
Alphonce :
hapana, kusoma nako kuna umuhimu
2026-07-13 13:44:29
0
zulfa mandia🇹🇿🔥🌹🇦🇪 :
wasomi hi 👋😁😁
2026-07-13 06:50:55
1
Mpita_Njia :
Aiseee!
2026-07-12 19:39:19
2
To see more videos from user @mkmoney1333, please go to the Tikwm
homepage.