@mjadalatv: Madeleka: 'Jumuiya ya Madola haijakosea kuitaka Serikali imwachilie huru Lissu ndani ya siku 30' Wakili wa kujitegemea, Peter Madeleka, ameyasema haya Julai 11, 2026, wakati akitoa maoni yake kuhusu hali ya kisiasa nchini mbele ya vyombo vya habari jijini Dar es Salaam.#mjadalatv #mangekimambi #tanzania
Mjadala tv
Region: TZ
Sunday 12 July 2026 10:41:46 GMT
Music
Download
Comments
Noreyn :
mungu akulinde Madeleka wallah gombea URAISI Kura zako zipoo tena zitajaa mpaka chini
2026-07-15 05:07:54
1
JEJE SANGA :
....letee babaa
2026-07-12 12:45:37
1
user616838287120 :
Samia amempa sana lissu umaharufu 💯 lissu ni jembe 💪🏿💪🏿💪🏿🐘🐘🐘🐘
2026-07-17 03:08:27
0
Aisha Habs :
nkwel kabisa baba
2026-07-15 11:17:22
0
pomonda :
daaah noma sana
2026-07-21 07:09:00
0
user9551363321676 :
mungu akulinde unafaa kuwa mwanasheria mkuu wa serikali
2026-07-16 12:39:26
0
Nungu Saimon :
hakika unajuwa kaka hongera sana
2026-07-16 08:08:08
0
ndamila boy :
bro nakubal
2026-07-16 11:55:42
0
NAWAPENDA :
uko sahihi angalia kwasikuteke Kaka
2026-07-18 17:16:53
0
Baba Mirlan :
Madeleka ni mungu wa pili namwita❤❤❤💪🏼💪🏼🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽 wachane baba
2026-07-16 15:38:30
0
jameskasuga_ :
huudoukweli mungu nimwema tutafika mwisho
2026-07-17 10:47:43
0
Emanuel Silayo :
uko vizuri,haki itendeke maisha yaendelee
2026-07-16 07:45:16
0
gordiusmasillago :
Hongera sana chief Mungu akubariki
2026-07-16 12:53:25
0
zeyn_19 :
ukweli kabisa'
2026-07-15 08:12:50
0
MR PC :
ila madeleka mungu azikumtunza kabisaaaaaaa
2026-07-12 13:54:34
0
Seif Kabelele :
OK
2026-07-12 11:55:56
1
ebay 001 boy. :
shujaa
2026-07-12 13:04:49
1
abasi :
abalikiwe na mungu
2026-07-12 12:44:13
1
Alex :
sahihi
2026-07-14 18:50:16
0
rajab :
wanakuja be care.
2026-07-14 19:07:05
0
Nicktruker :
madeleka mwamba san
2026-07-14 22:01:01
0
m :
Ndio watu tunawahitaji wenye mismamo na maisha
2026-07-14 23:07:05
1
Stevens Kasya :
dat it
2026-07-15 05:23:39
0
user745214967199 :
mungu akusimamie na akurinde
2026-07-21 12:40:59
0
Angelo :
Huo ni uoga wa ccm
2026-07-14 09:16:19
0
To see more videos from user @mjadalatv, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.