@khalifa.said4: mali zote ccm inadai kumiliki ziliporwa kutoka kwa watanzania, na ni muda sasa mali hizo zirejeshwe serikalini kwa manufaa ya watanzania wote!
brother umeanza kuongea mambo mazito sasa anza kuangalia usalama wako kwanza, tunakupnda sana.
2026-07-12 13:53:34
47
E.J.B.L :
Big brain bro live long
2026-07-12 11:37:39
30
MWOZO GIT mzinza safi🫀 :
Fact bro
2026-07-12 11:35:15
13
Abdala Mpomabiva :
nikweri kabisa inabidi tuamke kabisa ikiwezekana hata kuandamana warudishe
2026-08-03 13:25:50
2
Gulagula :
hii ni kweli kabisa
2026-07-12 11:44:29
11
mapanda :
yaan alie leta sim za mkopo mbona kasanua mambo maana tulikua hatujui haya yote
2026-07-31 20:35:59
3
29kabili@2025 :
kaka mungu yu pamoja na wapenda haki, wakati unakuja tutashinda.
2026-08-03 14:55:06
1
Codeman :
Sema chief upo sahihi unyoosha kwenye kona balaa ila watawala hawapendi uwe sahihi kama hivi utapewa kesi ya ugaidi, uhujumu uchumi au uhaini # Iddy Amini Dada Ouma wa Uganda 🇺🇬 aliwahi kusema "Una uhuru wa kuongea ila siwezi kukugrantee uhuru wako baada ya wewe kuongea"Ndio nchi tumefika huko
2026-08-01 02:41:26
2
Wissa :
Freedom of speech ndio hii sasa!
2026-07-13 05:25:10
3
oloo :
sababu unaongea ukweli basi watasema ww ni CHADEMA
2026-08-02 05:17:19
2
kit .b :
sawa kabisa bro hujawai kuwa mnafki kabisa na utakua mwandishi mkubwa sana duniani hata kama utapitia mikiki mikiki ila utafika kwa uwezo wa mungu
2026-07-12 16:39:04
15
Mandu Katiba Mahina :
100%
2026-07-12 20:09:08
1
David Mbaza :
Mali za ACT?
2026-07-13 08:33:16
0
user1736337401117 :
yap
2026-07-12 11:37:05
6
anyelmwambela8 :
Sio mda atatekwa mtu
2026-07-14 11:19:30
2
Hardtaget :
100%
2026-07-12 17:53:06
1
John Musa :
sure
2026-07-12 17:36:20
1
user7907708779397 :
kweli
2026-07-12 11:10:12
3
ponda mali :
kweli kabisa
2026-07-12 20:48:20
1
jilas :
mtumeeee
2026-07-12 19:10:40
1
To see more videos from user @khalifa.said4, please go to the Tikwm
homepage.