@man.kido49: HOTUBA YA ADO YAZUA MJADALA 🔥 “Tushirikiane Bila Kujali Vyama” Mbunge Wa Tunduru Kaskazini Ndugu, ADO azungumza kwenye Baraza la Madiwani kuhusu umuhimu wa kutumia maarifa, ushirikiano bila kujali tofauti za vyama vya siasa, pamoja na kuelezea miradi mbalimbali ya maendeleo na ahadi zake kwa wananchi. Baraza Hilo Lilifanyika Jana Tarehe 10.05.2026 Wilayani Tunduru. Tazama hotuba hii muhimu yenye ujumbe wa umoja na maendeleo.#tanzaniantiktok🇹🇿 #kenyantiktok🇰🇪 #HOTUBA