Huyu dada namuonea huruma sana, awe kichaa asiwe kichaa anahitaji msaada, naona ana zo documents zote za mahakama na muhuri, hatusemi kama Shekh Walid anahusika lalkini kutokana na ukubwa wa ofisi yake na yeye mwenyewe basi tunategemea huyu dada angeitwa wakayajenga, wakati fulani tunaweza kumlaumu huyu dada maskini kumbe anaonewa, Mashekh sio maasumina (watu wasiotenda dhambi) bali ni binadamu kama sisi tu, mama asaidiww kwa haraka
pole sana bella jaman, Imana igufashe bhizalangila
2026-07-13 08:52:57
4
Oman :
me mashehe sitaki wanioe kabisa Wana mambo machafu
2026-07-13 13:21:31
37
abubakari :
nenda police utapata msaada
2026-07-18 16:29:30
3
shahadi :
Mwachani dada wa watu atoe ya moyoni naye pia ni binadamu au kwa sababu ni shekhe ndo maana
2026-07-15 13:26:28
2
sity :
NIMEUMIA SANA NA SWALA ZIMA LA SHEKHE WETU
WANAWAKE TUJIFUNZE KATIKA HILI
Tujitahidi sana tunapofanya ibada tumuombe Mwenyezi Mungu atujaalie hekma ktk maamuzi yetu tunayoyafanya tunapokua na Hasira, mitihani,au Matatizo. Tusilolijua wanawake tunapoachana na wenza wetu au wazazi wenzetu na kudai haki za malezi ya watoto wetu, kwanza tutambue kwamba swala la kulea mtoto si la mpito, ni swala linalohitajika kwenye maisha yote ya mtoto au watoto tunaowaleta hapa duniani. Lakini pia kulea sio kutoa pesa za matumizi tu, bali ni pamoja na kumjenga mtoto kielimu na kimaadili. Na yote hayo yanahitaji sauti za wazazi wote wawili hata kama hampo pamoja. Tunaolea watoto tunajua, kuna wakati mtoto anakufanyia jambo unatamani pengine baba angekuwepo asingefanya hili, au pengine angesikia sauti ya baba hili angeacha.na hayo yote unaweza kuyapata kama tu kuna maelewano pande zote mbili hata kama mmeachana.Sasa kwa staili hii alofanya huyu dada anategemea atapata alichokusudia? Na je hata kama atakipata kitakua endelevu kwa maisha na makuzi yote ya mtoto? Au ndio anazidi kujijengea chuki yeye na huyo mtoto wake? Linapotokea swala kama hili tanguliza hekima kwanza. Kama amepita ngazi zote na hajapata msaada huenda na yeye kuna namna anamkosea Shekhe au anataka vitu kwa pupa ndio maana Shkhe nae anaksirika na kumpuuza. Ila pamoja na yote bado angechagua njia ya ukimya na kuupa muda nafasi. Akatafuta njia ya kutatua hizo changamoto zake na sio Hii ya kumchafua. Naimani kuna siku wangeyamaliza na maisha yangeendelea. Kwakuwa naiman Shekhe ana watoto wengi sana tena wakubwa tu mbona hatujawahi kusikia vilio vya wengine wakilalamika kawatelekeza? Huenda kweli Shekhe wetu anamakosa ila huyo dada kakosea zaidi.
2026-07-15 06:55:32
8
Nanah 😍 :
ila huyu mnyiramba anashida sana wallah hayupo sawa
2026-07-13 14:49:33
12
Fatuma Elias :
jamani mbona ni mzuri sana
2026-07-13 12:45:07
10
bakshjr&orange :
Allah anapowapenda waja wake anawajaribu In Shaa Allah leo tumeon sheikh wetu katenguliwa ila In Shaa Allah ni kheri dada utapata haki yako na sheikh atapata haki yake In Shaa Allah