@kimwaga_: Hii ni video ya AI lakini hata mchezaji mwenyewe Neymar Jr ameiona na imemliza kwasababu ilivyotengenezwa ni Kama vile motivation flani hivi kwamba ajaribu tena kwenye mashindano ya mwaka 2030 ya kombe la dunia. #brazil #neymar #worldcup #kimsports