@saleemhemedy: Taa ya Karabai (inayojulikana pia kama Pressure Lamp) ina historia ndefu na ya kipekee katika ukanda wa Afrika Mashariki, ambapo ilitambuliwa kama alama ya maendeleo, utajiri, na mapinduzi ya kiuchumi kabla ya kusambaa kwa nishati ya umeme. #historia #zanzibar #kumbukumbu
dah hii nyimbo inanikumbusha kipindi hicho Zanzibar ni neema yenye maadili sio sasa ivi Zanzibar imevamiwa na wageni hakuna tena neema🥹🥹
2026-07-14 10:56:31
4
sumran :
watu wametoka mbali jaman
2026-07-14 09:39:50
4
أنور✅ :
uo wimbo nikiusikia sa8 chuoni tyri😂
2026-07-14 13:28:53
2
IMMUDJ :
Allahu akbar nakumbuka mbali sana hakika tumeshakua watu wazima Mungu atupe umri mrefu wenye kheir na sisi 🤲🤲🤲
2026-07-14 14:28:10
3
Saviola :
Neema kwisha Zanzibar
2026-07-14 11:11:47
2
mukhajasin :
ukimiliki taa hii kipindi hicho ww kwenu matajir jamani tushakuwa vizee
2026-07-14 09:40:26
1
Salum 92 :
Duhh father alikuwa anaitumia kweny uvuvi iyoo long time n miskiti y nyumbn ilikuwa zikitumik
2026-07-14 13:08:22
1
Aisha Ame :
wimbo wa saa kumi nambili Joni mda huo kipindi Cha umeshindaje kinakaribia shirika la utangazaji zanzibar kwa sasa zbc.
2026-07-14 16:30:53
0
Mr. Isaac1️⃣✅️ :
DAH yani bro umenikumbusha mbali sana kwa kweli .yan huu ilikwa ndo muda wa kupata msosi .ALLAHUMMA GHUFIRLAHUU WA ARHAMAHUU WAMASKAANA FIL JANNAH 😭😭😭😭😭😭 kwa wazee wet waliotangulia.
2026-07-14 15:05:58
2
Alhaji@6iniesta :
wimbo huu unanikumbusha wakati wa magharibi kipindi cha umeshindaje
2026-07-14 14:50:28
0
Hamis Masud :
2026-07-14 14:24:20
0
omyvolour :
dah yan mpka machozi yananitoka mda umeenda sana ya rabi tusamehe makosa yetu sis tulip hai na walio tangulia amini
2026-07-14 14:53:41
0
user8147914816701 :
umenikumbusha mbali wallah 😂😂 na huo mziki
2026-07-14 14:23:47
0
Mwalimu Hamadi :
nakumbuk mbali sn mm jamn
2026-07-14 15:07:34
0
Arr babu :
Taa ya karabai, ikifutiwa kandili au chenni,na kibatali au koroboii
2026-07-14 11:39:59
1
user31455934539733 :
dah long time ago
2026-07-14 14:01:18
0
Muzahim Abdillah💧 :
dah !! kipindi hicho chuon ndio mda wake 😂😂😂
2026-07-14 17:00:27
0
Last~king ☆ :
daah nlkua chalii xan kpind icho😅
2026-07-14 13:58:01
0
cholo :
Nakumbuka mbali sana
2026-07-14 13:57:38
0
user951298041069 :
umenikumbusha mbali memkumbuka marehemu bibi anguuu
2026-07-14 13:57:37
0
Hassan M. Hamad :
Duh hii inanikumbusha kipindi hicho nipo mdg zenj fm ikifika saa 12 kamili jiona au 12 na robo baad ya jumbe za salam jion
2026-07-14 13:41:42
0
Ally omar :
mashallah
2026-07-14 13:24:14
0
aronnapolitano :
naomba jina la wimbo au msanii kwa anae juwa hii nyimbo
2026-07-14 17:00:45
0
To see more videos from user @saleemhemedy, please go to the Tikwm
homepage.