@sheikhnurdeenkishk: JE, YAFAA KUMSOMEA QUR'AN MAITI?

Sheikh Nurdeen Kishk
Sheikh Nurdeen Kishk
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 14 July 2026 09:17:01 GMT
25750
1196
65
132

Music

Download

Comments

ahmadba1
Maalim Ahmad Junior :
Imam Shafii si kweli ukirudi katika Riyadh Swalihin na Adhkar Imam Nnawawi ameripoti kutoka kwa Imam Shafii " Inapendezwa kusomwa chochote katika Quran , na akasema ikisomwa yote basi ni vizuri " kauli hizi zimenukuliwa na Imam Nnawawi katika vitabu vyake
2026-07-14 19:44:03
2
rajabumohamedi231
🔥KIKA🔥 :
je,mashindano ya Qur'an mtume (s.a.w) alifanya???!!!
2026-07-15 08:43:49
1
nasahazadini5
UISLAM NI NASAHA :
Shukraan sn wajazakallahu khayr Muhim n watu wasimame ktk suala moja tuuh mtume hakufanya na ss tusifanye🙏
2026-07-14 10:25:37
4
salim.ninga
Salim Ninga :
je mashindano ya kur.ani mtume kafanya
2026-07-15 07:28:40
1
allyabdallah747
البيماني :
Sheikh samahan itafsiri tena hiyo maan ya ختمة
2026-07-14 19:35:23
1
ibrahimathumankalova
Akhy-IBRAHIM :
Tufate mwenendo wa Mtume Muhammad (S.A.W) na maswahaba zake... haya mambo ambayo hawakuyafanya tuachane nayo...... dini imekamilika.
2026-07-16 04:58:55
0
fmingo4
SAFFRON :
Sasa tufanyeje ili tusiingie kwenye bidaa?
2026-07-14 19:04:35
0
tabarak.rahman3
Tabarak Rahman :
mbona mtume alimsomea Ubahya bin ubayha bin sululi mtoto wake alimuomba mtume amsomee alivokufa na mtume akamaomea ili limekaaje shekh kishki Nurdin?
2026-07-14 20:54:14
2
abdullahhamad144
abdallah perera🇵🇸 :
tumekumiss sana kwenye mawaidha kama haya🤔 sheikh nurdin
2026-07-14 20:10:26
3
mrangi.de.xmart.bo
mrangi de xmart boy :
2026-07-15 17:20:30
0
ali.salim075
Ali Salim :
Aalaikum Sheikh kishki.natska kuja Dar jee utanipokea mimi ni mtu wa lamu Sharif na ni Twabibu Naitwa Ali Salim
2026-07-15 21:15:59
1
athumani.mshihiri6
Athumani Mshihiri :
Hapo tumeelewana ndo maana nakupenda sana kwa ajil ya Allah
2026-07-16 23:32:03
0
user3620731583423
Abedi bondo Yusuf :
next partie
2026-07-16 15:48:53
0
kingfahad639
kingfahad254 :
Khalas
2026-07-14 10:57:33
0
abuu.tuppa7
Abuu Tuppa :
Rabbana ghfirlana wal ihiwanina lladhina sabaquna bil iimaan
2026-07-15 22:03:53
0
zubery.nyamkunga
Zubery Nyamkunga :
أحبك في الله
2026-07-15 03:30:07
0
salim.ninga
Salim Ninga :
sasa je nidhambi kama ikhtalafu
2026-07-15 07:27:37
0
zubery.nyamkunga
Zubery Nyamkunga :
السلام عليكم
2026-07-15 03:29:47
0
jumaashaabani
Jumaa S Jumaa :
loading
2026-07-14 13:38:13
0
mfalme926
mfalme ✍️ :
hawana lakusema je mashindano ya Que rain yafa
2026-07-14 13:11:41
1
fey885
fey wa magola🦋❤️ :
Assalamu Alaikum Warahmatullahi Wabarakatuh, Sheikh.SAMAHANI NIKO NJE YA MADA Natumaini uko salama. Kwa heshima kubwa naomba kuwasilisha ombi langu. Kwa kipindi hiki tumeshuhudia matukio mengi ya ukatili, mauaji na vitendo vinavyoumiza jamii nchini Tanzania na sehemu mbalimbali duniani. Naomba, ikiwezekana, muandae muadhara au mkutano maalumu wa kuiombea nchi na ulimwengu kwa ujumla, ili tumuombe Mwenyezi Mungu atuondoshee roho za ukatili, atujaalie amani, huruma na upendo miongoni mwa watu. Ninaamini dua za pamoja zina nafasi kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu, na kwa idhini Yake zinaweza kuwa sababu ya kuleta mabadiliko mema katika jamii yetu. Mwenyezi Mungu akulinde, akuongezee afya na akubariki katika kuiongoza jamii kwenye mema. Aamiin.
2026-07-14 17:25:29
0
bin.abeid5
Bin Abeid :
Allah mwenyewe anasemaje
2026-07-16 16:53:45
0
maxreeabd
Maxree :
ka Kuna ikhtilafu kwahivyo sio thambi na ukifanya utapata THAWABU kwa sababu ni jambo la kheri
2026-07-14 13:17:15
2
user9186673428526
dudwa :
sasa kwann wanasema maiti tuwaaombee dua iyo dua inaombwaje
2026-07-18 19:09:39
0
omaryramadhani880
Omary Ramadhani :
apo jawabu laaah haifai nawalaa haina haja yakuletaaa madaaa ndefu kujielezeaa hapana ni haifai bhs
2026-07-14 16:02:07
1
To see more videos from user @sheikhnurdeenkishk, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About