This is exactly what I was telling someone ilipaswa jambo liishe kwa busara sio kumdhalilisha mmoja
2026-07-14 20:21:31
0
ammylizer_tz :
Mimi ni muislamu Pure ila kuna mashekhe wanajificha kwenye kivuli cha dini but kwa kawaida watu watampinga huyu dada lakini usiombe yakukute.
2026-07-14 13:50:10
261
🦋remmyrey🦋 :
well said🥰🥰
2026-07-14 17:28:29
0
marynane08 :
Gooood
2026-07-14 18:22:09
0
Olaedo🍀 :
mimi nasema tena usijaribu kuolewa na mtu tajiri sana au mwenye anaaminika sana na jamii utalia zaidi ya king'ora
2026-07-14 15:46:15
50
mama razia ojiii :
on point
2026-07-14 16:57:04
0
kinguluila8888 :
kwanini asiende Kwa mufti Moja Kwa moja.ili swala liishe
2026-07-14 13:00:22
38
🦋IMNAL~ H ~MUSAH🦋 :
The lady is very correct to come to social media and speak about..coz nikama amejaribu all sectors asaidike but sheikh nikama ameziba njia zote ...jamanini masheikh ni binadamu tu kama sisi na wanakosea pia!..sheikh angetaka kuyamaliza haya hayangefika hapa!
2026-07-14 18:10:26
9
saphy @ :
Dada asikilizwe, na naamini ni mkweli
2026-07-14 12:12:35
79
Amina Abdallah :
Mh hii dunia mungu atustir kwani shehe ni wa kwanza kufanya hayo
2026-07-14 13:57:02
20
Bibi Cocu :
Inaweza kuwa kheri kwake Shekh wetu, kwani tumeisha nae toka wadogo hakuwahi kuwa katili kiasi hiki. Inasikitisha.
2026-07-14 14:23:39
17
lellah_8 :
Hii inanifanya nizidi kutowaamini viongozi wa dini🙌
2026-07-14 16:25:48
19
El bouhury :
Ammin. broo uko right sana mashaallaah 🤲
2026-07-14 15:35:46
2
Naah_mickey :
watu wanamtetea sheikh sababu n kiongoz Ila ma sheikh wanapenda sana kujifcha mwenye kivuli cha dini me namuamn huyo dada
2026-07-14 16:35:00
21
Hawa cannal :
kwahiyo shekhe wetu alizini au mm ndo sijaelewa
2026-07-14 15:09:58
11
Ney Ney :
mimi yalinikuta niliolewa na mwanaume ana dini alichonifanya alibeba kilakitu hadi nguo zangu sinahamu