@mtoto_wa_maria: Hakuna linaloshindikana mbele ya Mungu. Leo naomba umtag mtu unayempenda na kumwambia neno hili: "Kwa kuwa unapumua, bado Mungu ana mpango na wewe, hivyo usikate tamaa". Mkono wa Mungu hujawahi kuwa mfupi, kwa mtu anayemtumainia. ❤️🙌 #furahatemba #catholic #godiswithyou #tanzania🇹🇿 #kenya🇰🇪