@cawabemedia_: Balozi wa Tanzania nchini China, Dk. Suleiman Haji Suleiman, ameonya kuwa dawa za kulevya zinaendelea kuwagharimu Watanzania nchini humo, huku baadhi wakitumikia vifungo vya muda mrefu. Amewasihi wanaosafiri kwenda China kutobeba mizigo wasiyoifahamu, akisisitiza kuwa sheria za nchi hiyo ni kali na hazina msamaha kwa makosa ya dawa za kulevya.
nimejifunz huyu balozi anajua jinsi y kuongea kw Diplomasia
2026-07-14 18:34:30
25
Trainer jr. :
Hya wale mliokua mnauriza wale wanaomilki maduka sinza nje wamepaki V8 Alf hata hakuna wateja nadhani mmepata Jibu wamiliki wa hayo maduka
2026-07-14 23:20:03
7
Zinjibar :
Serikali zetu bwana...yani huyu pia ni balozi kazi ipo
2026-07-15 21:42:06
0
Bably :
kwaiyo unga wa sembe hauruhusiwi au?
2026-07-14 22:28:21
2
Amani Mathod :
balozi mwenye busara....mungu akutunze....akupe maisha marefu.
2026-07-16 04:09:30
3
decory2016 b :
unga wa sembe ? au madawa ya kulevya ? mana tuko ma vijana hapa wanauliza kumbe unga sembe hauruhusiwi china???? msiongee kwa mafumbo , kuna watu wanafikiri sembe kweli, nawaambia sio sembe vijana nadhan ni madawa ya kulevya hayo
2026-07-14 18:11:27
3
Emanuel Lyamuya :
Unga wa Sembe ni kosa Balozi?
2026-07-15 03:41:50
0
issamshana3 :
wenye masikio tumesikia
2026-07-15 09:28:14
2
user5657578802074 :
Kwakweli ni mtihani 🥺
2026-07-16 05:24:23
0
Mruta Katondo :
bolozi makini sana
2026-07-15 13:59:04
2
Eddy khalifa :
kaka mungu akupe Kila lakheri
2026-07-15 15:45:43
1
Mashauri phone covers ArushaTZ :
Elimu nzuri sana
2026-07-14 18:16:24
4
Jamila Basty :
haya kwa wale wenye wanauza vitu bei rahisi halafu wanaharibia wenzao😳
2026-07-15 15:41:37
1
Gosbert Method :
aiseeee
2026-07-15 18:15:54
0
kazinikazimotors :
Elimu nzuri saana🙏
2026-07-15 15:24:13
0
eddy nyanga :
ahsante mhe balozi kwa elimu
2026-07-14 22:10:45
0
muna :
shukrani kwa elimu
2026-07-14 17:55:59
6
catherinechales :
aisee
2026-07-14 19:25:09
1
the1cute :
naridhika nilichonacho😳😳hii balaa
2026-07-15 08:17:32
0
kijumbe💖💷 ♡♧ :
duuuhhh
2026-07-15 10:01:44
0
Nassir Nassor :
huyu jamaa yuko sawa sanaaa
2026-07-15 09:53:47
0
Ahmad Abdalla :
ALLAH awahifadhi watoto wetu inshaallah,
2026-07-15 11:48:33
0
kessey Swide :
Balozi weka wazi unga ni madawa ya kulevya, tufanyeni biashara za halali jaman
2026-07-15 08:18:49
0
To see more videos from user @cawabemedia_, please go to the Tikwm
homepage.