Ateguliwe Tu dada Anaushadi Wote Dada Munguu akutiee Guvu Popote ulipoo
2026-07-14 18:00:27
13
MR.VEGAS :
Shekh Walid Al-Had Kawambwa anastahiki kuwa MUFTI WA TANZANIA. Allah Amjaalie. Ameen
2026-07-15 15:54:10
2
nora0052 :
Usihuzunike sheikh wng Waleed. Hii ni kher yako. Allah kakuepusha na meeeengi. huwezi jua mungu kakupangia nini mbele yako. Allah akupe yakher yooote na akuepushe na Shari zoote. Amin
2026-07-15 08:54:57
4
user42375533744830 :
mungu amjalie subra walid kama ftina basi mungu atamlipia haphapa dunia
2026-07-14 17:07:42
11
f.s.alameri :
Yeye ni mtu ane jua haki na ajua daawatil madhloom istajab
2026-07-14 17:14:15
2
leylatotty :
hata Sheikh Alhad alitenguliwa akapewa Walid kijiti kupokezana
2026-07-15 06:45:36
3
@ACHATUPUMUE😎 :
jee uteuzi huo unamsaidiaje hyo dada?
2026-07-15 09:25:09
1
Sally cute :
hivi kwa nini mseme amemchafu? kwa nini binadamu ukweli wa mtu mnapenda kuufanya kuwa uongo? huyo dada angesikilizwa angetenguliwa? hiyo ni karma,hilo jambo dada kasema halijaanza jana wala juzi,mi nasema hivi kama wapo wanawake wengine wanafanyiwa hivyo,wajitokeze,ili wanaume waache kutelekeza wanawake na watoto
2026-07-15 10:00:37
2
GUZO :
# Walidi Rudi Kazini #
2026-07-16 10:46:38
0
Ust Rama :
Allah ampe subra inshallah
2026-07-16 06:16:43
1
Ghost{ff}max :
ishallah mungu ata mlipa
2026-07-14 17:10:22
2
Hadija Lesso :
Ni kawaida.
2026-07-16 06:20:38
0
Nairat :
Sioni hoja kubwa sana hapa kwa kua uwenda (ALLAH) ako na sababu mbona imefanyika Ivo uwenda ikawa Kheir kwake Hila pia wao wenye kumtoa sheik wataulizwa siku ya kima jee mbona mkufwatilia mpaka mpate Jibu sahihi ya Nini kimetokea
2026-07-15 20:12:43
0
Juma Abdallah Arsenal :
Allah amfanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu anachopitia
2026-07-14 17:09:55
3
sittytiba61 :
jambo zuri aki imepatikana
2026-07-16 01:27:47
0
Saphia Ngakonda :
kwelii kabisa
2026-07-15 19:29:10
0
wa mwembe :
tunamkubali sana jmn
2026-07-14 17:19:34
1
Naseem Muhammad :
sio haki
2026-07-15 16:41:15
0
mank09 :
safi sana
2026-07-15 15:26:46
0
Ashura Rashid :
mwenyezi mungu ni mjuzi kuliko yeyote kikubwa awe na subla
2026-07-16 18:03:18
0
Ramadhan Mohammed :
walaykum salaam warhamatula hii wabarakatuhuu
2026-07-15 19:11:39
0
ipuli :
@kakifupi tu ndugu waislaam tutii mamlaka yaliyoko duniani.
2026-07-16 07:47:06
0
yusrakhan Kahera :
Shekh handsome mpole mwenye huruma sana havagui dini aim Christian but namkubali sana mafundisho yake ni mazuri
2026-07-15 19:57:30
1
Tasneem Shariff :
kwanini
2026-07-14 17:08:35
0
To see more videos from user @chief_maalim_mpiri1, please go to the Tikwm
homepage.