@sameermbaraka: LEO LEO TAYARI HUKOOO

Sameer Mbaraka
Sameer Mbaraka
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 14 July 2026 19:24:35 GMT
61741
1182
104
33

Music

Download

Comments

kingayuub3
🇺🇸king—Ayub🇸🇴 :
0:2 then —1 0:1
2026-07-15 14:07:22
0
sadalamussa20
mussa sadala 20 :
SHIDA YA TEAM RONALDO HAMJUI MPIRA ,
2026-07-15 11:17:52
1
kh_cliff
King :
Sas match ya France na Spain anasemwa messi😂
2026-07-14 23:44:11
19
coyg244
COYG :
nyie kama hamjui mpira msikilize taarabu
2026-07-15 06:39:20
16
ramadhaniliuka
Ramadhani Liuka :
me ata sielewi shelia ya pila ngumu sna mtu amejingiza kwa makusudi kabisa ila mpira shikamo.
2026-07-15 16:47:34
1
user3286820728702
Adamnice Ngonyani :
kombe la Dunia la miaka hii halina mvuto kabisaaaa ni kubebana tu
2026-07-15 14:26:39
2
user4050088381320
dizzoHunter13 :
messi kama maji tu🤣🤣🤣
2026-07-15 03:42:46
6
dicky_keya
Dickson Keya :
messi katokea wapi Tena 😂
2026-07-15 13:27:20
4
abdulkareem.naifin
Abdulkareem naifin waziri🙏🔥 :
basi toweni ila gori moja😁
2026-07-15 02:49:49
12
faustine_cee
Ceefaustine :
Sasa Messi kafanya mini yaaan?
2026-07-15 04:59:07
1
allenmichael455
ALLEN MICHAEL :
daaaaaaaah jaman mpka penalty kapewa ispania ila anasaidiwa Messi tena? aaaah jaman mashabiki w Ronaldo acheni chuki
2026-07-15 12:20:53
1
khatib253253
Khatib Ahmed :
mtu ashabikie simba au yanga hajui mpira
2026-07-15 15:46:10
0
user3141151802333
user3141151802333 :
Hakuna penalt hapa ni uhuni tuu
2026-07-15 16:24:46
0
totodalali2407
Sidibe 05 :
hata ukiachana na hyoo Jana Ndugu zetu Jana walikamatwa Kila idara kama Kuna nyengine walionewa iposti ufaransa Jana bola wangeanza na Kante2 wamezingua wenyewe hakuna Cha FIFA Wala nn? ufaransa wamezingua shoot on target mbili mechi nzimaa
2026-07-15 07:13:23
2
sianaulomi1
kyekue :
sasa Messi anahusika nn hapo nyie
2026-07-15 16:26:17
0
theprideofsamuye
Shinyanga Icon :
😂😂hebu toeni hilo goal la penalty na mrudishe goal la lamine tuone kama mtayarudisha
2026-07-15 16:14:20
0
dismascosmas495
dismascosmas495 :
😃😃 ila messi
2026-07-15 03:14:25
0
don_pablo955
PABLO :
Tatizo lamine kagusa mpira, ndomaana hajapewa red,
2026-07-15 12:37:11
0
ljmwambar
Lj Mwambar :
tuoneshe vyeti ulivosomea urefa,maana unajua kuliko FIFA.kuna sheriankibao ambazo wachezaji wanazitumia kama advanteji
2026-07-15 18:43:08
0
khalidkan24
The Khalidkan24 :
Hapana mm mpnz wa france ila kwa mchezo wa jana walionyesha france sio wakucheza final hapana watatuletea aibu bure bora wametoka kwanza pale hakuna coach
2026-07-15 18:08:56
0
user73678880877001
user73678880877001 :
Ni hali ya kumsaidiya messi ni kweli kabla kuangaliya foul ilikuwa referee na V.A.R wange angalia handball.
2026-07-15 14:05:22
0
steve.champion17
Steve Champion17 :
mzee tunamuheshimu
2026-07-15 13:36:18
0
saidprogame
@said.gamer :
ongeeni mpira bwana acheni ushabiki
2026-07-14 19:56:51
0
To see more videos from user @sameermbaraka, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About