Ali boy :
Unapopewa thamana ya kubeba dini, ujue kujiweka mbali, na mambo na tabia ambazo zitakuchafua na kuichafua nidi yako, kilichoangaliwa na waamuzi ni kuilinda dini, nyinyi mnacho kiangalia na kulingania ni kumlinda mtu, hii ni dini, siyo ushabiki, hata tume ya uwamuzi Wana mapenzi nae, ila mpaka kutoa mahamuzi, niwazi yamekidhiri,nawakumbusha kuwa, heshima inaposhuka kuipandisha siyo kazi, lakini Imani ya dini inaposhuka nikazi kuipandisha,
2026-07-15 05:10:42