@khidmatv1: Maneno Mazito ya Katibu wa Baraza la Ulamaa Sheikh Hassan Said Chizenga Kwenda Kwa Kaimu Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam Mara Baada ya Kuteuliwa na Kufika Bakwata na Kukutana Ofisini Kwake. #KhidmaTV
mpaka anapiga magoti inaamana hio nafasi alikua anaisubiria Kwa ham Sana kuna kamchezo apo sibure
2026-07-15 09:38:09
29
Jackson J. Marko :
We only kneel to God!!
2026-07-15 03:27:41
20
povar@professional :
hii inaonekana fika ni kampeni za kumtoa shekh waleed
2026-07-15 05:43:18
31
Xping :
Bakwata kuna fitna sana
2026-07-15 14:34:32
16
kamalhp :
Mission Successful
2026-07-15 05:16:55
9
Teacher Mussa :
UNAMPIGIA MAGOTI BINADAMU ALIYEJAA MADHAIFU. WAZFA NI MTIHANI SANA.
2026-07-15 14:12:01
7
Adnani Mkumbwa :
Duuu hii Dunia ina mambo kupiga goti tena eeeh
2026-07-15 14:39:08
2
mariamu :
wALIDI ndio kipenzi chetu 🥰🥰🥰
2026-07-15 07:18:18
16
رابعة🦋 :
Mbona ampigie magoti!!????
2026-07-15 16:55:03
1
FahmyBalouch :
Je hili la kumpigia magoti binaadam mwenzio ndio maadili ya uislam? Mana anaestahiki kupigiwa magoti ama kusujudiwa ni Allah pekee
2026-07-15 15:08:16
4
حليمة لا تتحرك. 👑🤍 :
Why got
2026-07-15 03:28:05
1
The Great Marcello :
nimekwisha wauliza masheikh kadhaa sijafanikiwa kupata majibu halisi kuhusu hukumu ya mwanamke kumpigia magoti mwanaume kwa lengo la heshima kama ilivyo kwenye mila za kiafrika sasa leo nashangaa anayepiga goti ni mwanaume jamani ntoeni tongotongo juu ya jambo hili
2026-07-15 21:08:27
0
thebinamu :
Kwanini ampigie magoti?????
2026-07-15 14:54:58
0
Teacher Mussa :
JMN INAFAA KWELI KUMUANGUKIA BINADAMU MWENZIO. DAH
2026-07-15 14:11:18
5
uBEYAA :
@uBEYAA:@uBEYAA:@uBEYAA:Wallah roho inaniuma kinoma yaani hivi kuna swahaba aliyekuwa hajakosea katika uwongozi wake na vipi kama zitatumwa video nyengn za hovy kuhuc mashekh wakubwa je kuna mkamilifu isipokuwa Allah kwa hakika uwamuz waliyofanya ipo siku na saa watajutia hata km siy duniani ila ipo siku yaani daaah wanafanya dini kuwa siasa wallah 🥺🥺🥺
2026-07-15 08:05:57
0
MUNGA :
magoti ni heshima jamani mbona mnajadili magoti ata kusujudu pia kupo hizo ni heshima
2026-07-15 05:51:27
2
Ms Nuh🦋💞 :
Hatimae mmeanza kujionesha ni jinsi gan hyo nafasi ilikua inatakiwa na watu wengine tumejua
2026-07-15 18:31:32
1
Odemba Jr 🤴🏾 :
Hii nchi inawaigizaji kila sehemu
2026-07-15 18:24:18
1
London :
Hii ni FITNA kubwa
2026-07-15 18:11:31
1
Ⓜ️R someone 👁️🗨️ :
jamaa lilikuwa linangoja Kwa ham hyo nafas
2026-07-15 06:33:34
4
To see more videos from user @khidmatv1, please go to the Tikwm
homepage.