@yasinanekeya: Mtuambie nasi tujue taarikh hiyo

ابن ابراهيم 🙏♥️
ابن ابراهيم 🙏♥️
Open In TikTok:
Region: KE
Tuesday 14 July 2026 22:01:12 GMT
4268
235
31
28

Music

Download

Comments

khalidilonka
Khalidi Lonka :
Pili tofauti ya mwanadamu na mnyama ni akili, lakini kuna tofauti nyingine ambayo ni hisia. Siku ukifiwa na mtu unayempenda na kumfahamu, ima ni mama yako au baba yako au mwanao basi kuna mambo utayafanya hata akilini yaweza kuwa hayaingii ila hisia zikakutuma kufanya hivo.
2026-07-15 11:14:52
4
ididakana
zizuu :
mashallah
2026-07-16 12:03:32
2
saidswea
said :
nikajua kunaelim kumbe 0 ktk hilo
2026-07-15 11:31:20
4
user7781385277472
user7781385277472 :
jamani tufanye bidii tuwe na hoja qawii
2026-07-15 09:32:18
2
user9812341702463
moghaa zidane :
Swaddaqta Ustaadh, al muhimu tumejuwa kuwa IMAAM walikuwa, SI khalifa
2026-07-16 14:36:06
1
lover.of.ahlulbait
lover of Ahlulbait :
Ahsantum ustadh
2026-07-16 14:01:33
1
shabanisuleyman59
Shabani Suleyman :
wapi dalili huseni hupendi kupendwa vile aina dalili
2026-07-15 16:20:13
2
70sidemuqaddas
Muq@ddas Tz🎧 :
Shekh Bado hujajua kwamba mashia wapo wengi na wapo wanaokataza iv kujitoa dam na wapo wanao kubal jua Hilo Habibi ☺️☺️
2026-07-15 22:31:38
1
user6876159956138
ibn Ibrahim :
sheikh letu yuko sawa. Allah amuweke na amhifadhi
2026-07-16 12:59:30
1
user7781385277472
user7781385277472 :
لا هذه حجة التحريم
2026-07-15 09:32:55
0
khalidilonka
Khalidi Lonka :
Ikiwa hawakufanya ndio na wengine wasifanye? Hadithi ya Mtume s.a.w.w. inasema "asili ya kila jambo ni halali mpaka ujue uharamu wake". ikiwa wao hawakufanya na hawakuharamisha basi ni halali kufanya lakini ikiwa waliharamisha basi mje na ushahidi wa kuharamisha.
2026-07-15 11:12:28
2
shabanisuleyman59
Shabani Suleyman :
shekh hujaelewa nini kwanini huseini
2026-07-15 16:19:21
1
user3479984069919
BakariAlly :
sheikh leo umeongea vitu havieleweki
2026-07-16 04:22:15
1
user2329399722798
mwanaulu ummul banina💝💝💖 :
kumbe haya yote mnayajua kwanini huko utotoni mnatufundisha hasani na huseni walikua maadui walipigana mpaka Allah akawaekea ukuta wasionane
2026-07-16 09:27:08
1
asadabdulkadir
Asad Abdulkadir :
Na maulidi ya rama kupandishana maruhanj na dhikri za kuzima taa zimetoka wapi?
2026-07-16 21:49:39
0
mahad.soman
Mahat Somane :
اللهم صلى على محمد وآل محمد وعجل فرجهم
2026-07-16 18:31:38
0
zainabndete
Zainab Ndete :
Sheikh zungumza maneno yenye nguvu hizo ni hoja za watoto wa madrasa kwa Sheikh wewe hifai ktoa hoja hizo
2026-07-16 15:31:12
0
user1286829731332
empire :
shiiaa
2026-07-17 00:40:14
0
bizzomtataman
بيزو :
sheikh sema unataka ufundishwe usisem hamn taarikh riwaya zipo tele ,mashia wanategemea vitabu vyao sio vyenu.
2026-07-15 21:20:02
0
alhajikhamis1
KHALIDI FASHION,, 0692484704 :
Kujipiga kifua (kwa Kiarabu: Latm au Latmiya) katika madhehebu ya Shia huchukuliwa kama ishara ya kueleza huzuni kubwa, na chimbuko lake linahusishwa na matukio ya kihistoria baada ya mauaji ya Imam Husayn (a.s) kule Karbala, pamoja na mafundisho na kauli za Maimamu wa Ahlul Bayt (a.s). Ifuatayo ni misingi na dalili wanazozitegemea Mashia kutoka kwa Maimamu wao kuhusu swala hili: 1. Kitendo cha Wanawake wa Nyumba ya Mtume (Ahlul Bayt) Mashia wanategemea simulizi za kihistoria zinazoonyesha kuwa wanawake wa nyumba ya Mtume Muhammad (s.a.w.w)—akiwemo Bibi Zainab (a.s) (dada yake Imam Husayn)—walijipiga vifua na nyuso zao kwa huzuni walipoona miili ya mashahidi wa Karbala. Katika kitabu cha kishia cha hadithi Bihar al-Anwar, imepokelewa kuwa wakati Bibi Zainab alipouona mwili wa kaka yake Imam Husayn ukiwa umekatwa kichwa na kukanyagwa na farasi, alijipiga usoni na kifuani kwa uchungu mwingi. Kitendo hiki hakikukemewa na Imam Zainul Abidin (a.s) ambaye alikuwa hai na ndiye Imam wa wakati huo, jambo linaloashiria kuwa ni kitendo kinachokubalika katika mazingira ya msiba mzito kama huo. 2. Riwaya Kutoka kwa Imam Ja'far al-Sadiq (a.s) Imam wa sita wa Shia, Imam Ja'far al-Sadiq (a.s), ananukuliwa katika vyanzo vya Shia akiruhusu na kuhimiza udhihirishaji wa huzuni kwa ajili ya Imam Husayn. Katika riwaya iliyoandikwa kwenye kitabu cha Tahdhib al-Ahkam cha Sheikh Tusi, Imam al-Sadiq (a.s) alisema: "Hakika, kujipiga usoni na kifuani (al-latm) na kupasua nguo kwa ajili ya mtu wa kawaida si jambo zuri, lakini kwa ajili ya mfano wa Husayn bin Ali (a.s), kujipiga usoni na kifuani ni jambo linalofaa na linaruhusiwa." 3. Kuhuisha Kumbukumbu (Kazi ya Maimamu) Maimamu wote wa Ahlul Bayt walihimiza wafuasi wao (Mashia) kutoacha kusikitika na kukumbuka msiba wa Karbala. Imam Ali al-Ridha (a.s) alisema: "Yeyote anayekumbuka msiba wetu na akalia kwa yale yaliyotusibu, atakuwa pamoja nasi katika daraja yetu Siku ya Kiyama." Kujipiga kifua kwa upole na kwa mahadhi ya mashairi (Latmiya) huonekana kama njia ya kivitendo ya kutekeleza agizo hili la kuomboleza na kuonyesha mapenzi kwa Ahlul Bayt. Mtazamo wa Sasa wa Wanazuoni (Maraji') wa Shia Ni muhimu kufahamu kuwa wanazuoni
2026-07-15 12:25:14
5
To see more videos from user @yasinanekeya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About