@magarimaarufu: Msafara wa Katoro kwanini hauna Subaru? Ule wa majirani zetu Kenya nao ni Benz tu (G Wagon) Eti Timu subaru Tanzania naombeni jibu ya hili swali @devi_subaru naomba uwe wa kwanza kujibu hili kwanini mastaa wakubwa wananunua Toyota na sio subaru kwanini mastaa wengi hawana #subaru ? #storizamagari #magarimaarufu
subaru hazija base kweny comfotability na sio luxury car
2026-07-15 11:31:15
9
DEVI_SUBARU DODOMA :
Hakuna sheria inayosema mastaa hawatumii Subaru. Wengi wao huchagua magari ya luxury kama Mercedes, Range Rover au Rolls-Royce kwa sababu ya hadhi, starehe na taswira ya chapa. Subaru inalenga zaidi utendaji, usalama na uwezo wa AWD kuliko kuonekana kama luxury
2026-07-15 17:39:50
9
Yinga Media :
2026-07-15 06:37:37
5
king naabi :
watu wenye uwezo mkubwa wa kifedha mara nyingi huchagua chapa kama Mercedes-Benz, BMW, Range Rover, Porsche, au Rolls-Royce kwa sababu ya anasa, teknolojia, hadhi ya chapa, na huduma za kiwango cha juu. which Subaru inajulikana kwa uimara, usalama, na mfumo wa AWD
2026-07-15 06:18:31
8
Emniz John :
Kwan watu subaru tumekufanyaje?
2026-07-15 18:42:28
1
Unjuu Transportation services :
Subaru siyo gari zakifahari
2026-07-15 22:22:04
4
Yatchy Breezy :
watu wasichokijua subaru inamilikiwa na toyota ndy maana hata ikifanya utafiti 85% ni toyota tupu kwenye wire ring na spea,dad vipuri vyake
2026-07-15 08:05:20
4
dr fober :
watu maarufu na matajiri wengi wao hutumia EUROPEAN CARS kwa Toyota hutumia gari kubwa landcruiser luxury cars.Subaru ni sports car na sio luxury
2026-07-16 10:50:54
1
LA MBINGUNI😎 :
2026-07-15 05:48:01
3
steve trucker TZ :
Subaru toka maika ya nyuma walikuwa maarufu kwa kuwa na magari ya sport ,na watu waliyaogopa wakihofia kuwa yanakula mafuta sana,Kulingana pia na mapinduzi ya biashara na kuhitaji soko wakaja na subaru impreza injini yake ndogo kma ist tu ,Forester xt,subari sj5 kwenye matoleo hya hakuna gari ya kifahari hta moja, ustegemee kuona subaru kwenye msafara wa magari ya kihari kma Lexus,Parado tx,G wagon,Benz,Aud,BMW lbda wabuni toleo la kifahari ndio tulione kwenye msafara wa magari ya kifahari..
2026-07-15 06:45:02
3
Herman HD :
Subaru ni sport car sio luxury
2026-07-15 17:41:21
2
byser____001 :
Subaru ni sports car na si luxury car mkuu
2026-07-16 05:17:45
2
erick shayo :
subaru ni usafiri tu ila sio kitu cha kukiamin
2026-07-15 06:50:37
3
Babuu_tz :
Tatizo price haziendani na wadhfa wa shughuli
2026-07-15 06:16:47
4
KITATILE MOTORS :
Tatizo matajiri wengi wanaamini gari ya kifahari lazima iuzwe 300m au 400m
ukitaka kujua hizo gari ni za kwendea kwenye sherehe
funga safari ya mkoa wowote ule
alafu angalia njiani zipo utakutana na hizo gari ngapi?
matajiri wote wana subaru za safari
2026-07-15 20:06:29
1
Joe_ink :
SUBARU SIO GAR NI MFANOO WA GAR 😂
2026-07-15 06:39:23
3
Bm scotty :
subaru tuachie sisi watoto wazee wamichezo🤠
2026-07-15 13:46:51
1
Erick Subaru💨💨 :
Nionyeshe subaru yenye thaman ya 300M nikujibu??
2026-07-15 21:40:15
1
GoDWiLl :
wee naninalikuambia subaru ana gari za kifahali?
2026-07-16 10:46:28
0
Jay jay :
𝑠𝑢𝑏𝑎𝑟𝑢 𝑛𝑖 𝑘𝑎𝑚𝑎 𝑝𝑎𝑠𝑠𝑜 𝑡𝑢 ℎ𝑎𝑧𝑖𝑛 𝑡𝑜𝑓𝑎𝑢𝑡𝑖 ℎ𝑎𝑡𝑎 🤣🤣🤣
2026-07-16 09:49:55
1
Cocomelon :
na kuna Bentley
2026-07-16 11:15:41
0
Big man Fally :
Mimi kama subaru boy, napends kusema kwamba subaru haipo kwenye luxury brand but ipo kwenye Sports cars (STI) . Unachouliza ni sawa nikuulize mbona hakuna landcruiser kwenye formula one. Every car has its purpose. Once ukijua purpose ya kwanin una gari fulani basi hautashangaa.
2026-07-16 11:31:37
1
To see more videos from user @magarimaarufu, please go to the Tikwm
homepage.