@kaygeedollar:

KAYGEE DOLLAR🥷
KAYGEE DOLLAR🥷
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 15 July 2026 08:47:38 GMT
88273
3855
452
40

Music

Download

Comments

user2696931693518
user2696931693518 :
tuliokuja kusoma comment tujuane
2026-07-15 14:21:24
173
user7273212780078
Eliya tz :
baba na mama walikuwa wana gombana mama akachukuwa kiatu changu akawa anampiga nacho baba kwaiyo nikasubiri amalize ndonije shule
2026-07-15 13:13:12
116
shazzi327
shaz Boy :
wale wa kusoma comment tugonge like hapa
2026-07-16 15:42:33
37
andrea_fact
𝙰𝙽𝙳𝚁𝙴𝙰 𝙵𝙰𝙲𝚃🤝 :
Nishawahi kuchelewa Shule nikamdanganya mwalimu Nitamletea maembe😂😂😂😂
2026-07-16 07:28:25
31
binayakhan_
Binayakhan :
1.niliandika notes zote, wameniibia daftari langu 2.daftari nilikusnya mwalimu. nikakuekea juu ya meza yako, nashangaa halijarudi langu
2026-07-15 17:13:32
83
salumunammenje243
SANECH🌷 :
kuibadili kwelli kuwa sikweli ilinipate 30marks
2026-07-15 12:01:08
24
asteriapaulo475
Rahma💕💕 :
niliiigiza naumwa yaan nalia kabisa had makamas nkapewa dawa nkasindikizwa nyumban yaan nlikua spendi shule kama nn😂😂😂
2026-07-16 08:56:48
19
user4570026122619
Ammie cute🧕 :
jana ucku nilikuwa najisomea nilivo malizaa nikasahau kuliweka kweny beg😂... kumbe nilifanya maksudi kuliacha nyumbn😂😂😂
2026-07-15 16:06:49
28
user8350616139945
heavenlight # Da MELLANIN BEE :
sijafungiwa mda wa prac coz tumbo la p linaniuma😅😅
2026-07-15 08:59:44
9
user8108627152229
monica :
nimechelewa namba kwasababu nilikuwa nakunywa dawa🥰🥰
2026-07-15 18:29:43
13
user6315014484953
Allie ben romdhane :
ckuja shule sababu niliachiwa watoto af me ndo last born
2026-07-15 18:55:36
31
kaizalgang
@Gangeeee :
kwetu mvua imenyesha daftari zangu zimeenda na maji na saivi tunalala juu ya miti
2026-07-15 10:02:15
15
user9954753150242
Elizabeth :
Tuliokuwa waongo shulen halafu,tumekuja kukumbushia mambo yetu ya shule tujuane hp
2026-07-17 06:48:34
6
jescarshedracksil
Jescar shedrack silayo Silayo :
nilisemaga sijaja shule nimeenda babati baba angu anaumwa akat alishakufag miaka mingi🤣🤣
2026-07-15 10:01:13
19
missboss2682
miss lily :
mwanetu unatafuta comment gan
2026-07-16 15:33:35
6
twalibuadinani762
ma2pa ct :
nilikuwa na kaz staff
2026-07-15 18:01:37
6
rosemwayongo478
Rose Mwayongo :
mwalim waiz walitufungia mlango😂😂😂
2026-07-16 09:27:55
5
mississdory
E🦋 :
Nili iba mtihan nikajaza upya wa mathe nikapata 90 nika itwa nifanye swali ambal wat wote wamekosa isipokuwa mm🥹🥹 nilijifanya na umwa
2026-07-16 20:41:43
6
farajimtumbi59
Faraji mtumbi# :
Sijaja Jana nilikuwa nakaliza nyuma.ticha kwani nyumba inaibiwa🤣🤣🤣
2026-07-16 11:04:09
3
sir.revo7
Sir.Revo :
nilimdanganya mwalim kuwa naumwa nimepita hospital ndo maana nmechelewa akasema twende kwa doctor
2026-07-19 18:35:29
2
user2738184843929
eligius :
joshua aliondoka na daftar langu kumbe ata sikuandika
2026-07-19 18:46:34
3
zyravox7
zyravox7 :
mwalimu me nilifariki
2026-07-18 19:58:25
3
precious.siza
precious siza :
niliekti ninamapepo kumbe naogopa fimbo nikawakimbiza wenzangu dalasani pamoja na mwalimu nae akakimbia tukapon fimbo
2026-07-17 12:45:28
6
jihamalameck600
Jihama Lameck :
nilidanganya kuwa na umwa, kumbe nikienda kwa mpenzi wangu tu🤣🤣🤣
2026-07-20 13:46:54
2
danielijuma01
danieli 01 :
mimi nyumban mvuw ilikuw inanyexh asubuh
2026-07-27 07:20:40
2
To see more videos from user @kaygeedollar, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About