@pamojafm4: Salum Namtuka, mkazi wa Dar es Salaam, amesema bado anaishi na vipande vya risasi mwilini huku akidai kesi ya tukio la kushambuliwa kwake kwa risasi
looh kuna watu wanajiona wapo juu ya Sheria kwanini mtuhumiwa asipeleke mahakamani
2026-07-15 16:38:15
5
John Amos :
babangu ata mahakaman unaviringishwa unahaki baada ya hapo inakugeukia mheshimiwa ,nina kes kama tatu zooote ata moja amna ilioisha nikaona hukum zaidi ya kuliwa ela na wanasheria na hakuna kitu kinaniuma kama kiwanja changu nina hati miliki mtu anajiamlia kwamba lazima uniuzie hautak ntajenga tuu mpaka sasa ghorofa lake liko mwishon kumalizika na mimi ninahangaika tuuu nimiaka 6 sasa
2026-07-15 22:41:12
0
Emmanuel c mmbando :
apo police 🚨 wamekula rushwa na wakili amekula rushwa hapo
2026-07-16 05:12:47
5
MPELA :
Uonevu saana kwa raia
2026-07-16 21:58:10
1
Lojja mpilly :
dah yan wazili hata mimi mna kaka yang alipata ajali ya moto ilie sababisha nagali gali ilikamatwa police msimbaz gali ilitoka lakin police mpaka leo awatak kupeleka mahaman
2026-07-15 20:36:32
0
Home boys :
😄😄
2026-07-15 22:05:29
2
Hamadi Salum Mchotama :
Tunakoelekea sio kuzuri kwa sababu Polisi wamekua chombo cha kutafsiri sheria,huo ni Uporaji wa muhimili wa MAHAKAMA.
2026-07-16 00:46:44
4
Sarah32 :
naomba namba yako Waziri
2026-07-16 12:33:05
2
iddimulunga2 :
😎😎😎😎 mh waziri umefanya jambo nzuri kuludisha kesi te mahakamani
2026-07-16 00:08:19
1
user7612057691396 :
ni sawa na ya Tundu Lissu tu Naitaka Tanganyika yangu hii Tanzania iondoke
2026-07-17 08:55:25
0
Saidi Daudi :
swala apo kaumizwa watamsaidiaje
2026-07-15 18:14:11
2
Abby Mura :
mungu akuwekee sana kaka
2026-07-17 13:49:38
0
timba989 :
nimekipenda iki kipindi
2026-07-17 06:50:59
0
joyceliymo0 :
serikali imejàa viongozi WA rushwa awajali ata Maisha ya mtu😏
2026-07-18 07:05:26
0
jackobo Odiwa :
hii inafanyika saa ngapi jamani
2026-07-16 20:15:51
0
Pacoume Zouzoua :
Verry good waziri
2026-07-15 17:06:09
0
Wajina Mc :
VIONGIZI KAMA HAWA TUKIEA NAO WENGI KWENYE KAZI TOFAUTI TOFAUTI NAIMANI KWA MUDA WA MIAKA 10 ASEE RAIA AWATA UCHUKIA SERIKARI YAO MAANA SASAIVI WANA NCHI AWA IELEWI SERIKARI YAO ILA NIVILE AWANA CHAKUIFANYA WANAONA WAFANYE TU MAISHA YAO🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺
2026-07-16 08:51:39
0
mwamponzi one :
ndomaana sisi tunaichukia ccm
2026-07-16 08:53:06
0
Pere :
ubarikiwe sana Mungu akuongoze kutekeleza majukumu yako enye kutoa elimu ya kupata haki kwa jamii!.
2026-07-18 05:02:57
0
Mattary Mohamed :
naomba namba ya waziri na mm ninakero
2026-07-16 11:28:17
1
user2261568578587 :
taifa langu Tanzania 🇹🇿 nini hiki😳
2026-07-17 05:10:31
0
kipezya355 :
Mungu akulinde sanaa muheshimiwa msaidie Jaman
2026-07-16 15:54:53
0
YOHANA MUNGU NI MWEMA :
l
00l
l
2026-07-15 21:20:24
0
To see more videos from user @pamojafm4, please go to the Tikwm
homepage.