ukweli mungu ampe nguvu shekhe wetu khalidi. na kumtunza
2026-07-15 16:19:09
10
Saira Nkuro :
yan walikua wanamtafutia sabab ty huon wameshindw kufany sbra
2026-07-15 16:33:14
5
MRShob :
kajivunjia mwenyewe, Mungu atupe busara ktk kukabiliana na changamoto tunazozipitia
2026-07-16 05:39:49
1
Eliza msafiri :
sheria haiangalii upande mmoja ni msumeno, na kwakua swala lenyewe hulijuia basi kaa kimya.
2026-07-15 17:27:12
5
Rebel_aura :
ukweli, lakini hata kama wame mwaibisha sheikh walidi, lakini Kwa ajili ya Allah na tuta simama na yy na kama ni Kwa ajili ya kuongoa yy basi sio hio njia, na wala hakuna aliye kamili isipo kuwa Allah azzawajalla, pamoja sheikh wetu tuna kupenda Bure Kwa upendo wa Allah 🙏🏼
2026-07-15 18:50:07
7
yaceen samdoe♥️♥️♥️ :
Kwa kweli bakwata hawajatumia Busara ht kdg kila mtu anamapungufu yake hakuna mkalilfu kwa nn mnamhukumu mtu Bila kutafakali kwa kweli bakwata mmemchafua sheikhe Walid.
2026-07-15 18:40:16
6
CAN ONLY do :
kweli kaka mashehe wawe na hekma
2026-07-15 18:05:55
5
Fairun Alhashyy :
tanzania yote tumieumia lkn tuna miachia mungu inshaallah
2026-07-15 16:10:06
10
Suhayla :
hawa viongozi Wana shida kidogo hasa shida ya cheo nasio cheo tu husda pia dini imekuwa km vyama vyasiasa kila mmoja anasema
2026-07-15 14:02:13
7
africanculture25♈️ :
@africanculture25♈️:🔥 nguvu na ushawishi alio uonesha walid ni mkubwa kuliko ata mufti ndo mana husda na chuki imeingia kati na kwa kigezo cha mwanamke ... ,,🔥🔥🔥 ila ninaimani huyu alikuwa anaenda kuwatikisa ndani ya bakwata na inasemekana bakwata , kiongozi mkuu anachaguliwa na SYSTEM , kwahiyo huyu angeweza kuaribu utaratibu huo ndo mana wamemuondoa mapema.🔥
2026-07-15 18:56:02
5
user6262869374315 :
heshma sio tatizo, tatizo ikiwa kweki alikitenda kitendo hichi na uyu dada basi shekh inampsa kumuomba mungu msamaha,
2026-07-16 06:36:36
0
Mama Dullah :
kweli kabisaa
2026-07-15 17:58:50
4
official nyanza :
tuwandamane sheikh Wald bado tunampenda
2026-07-15 18:52:23
2
user1583425521112 :
kweli kabisaa dini imekuwa siasa shekh
2026-07-15 19:11:46
2
Mr Ahmad :
maumivu makali xnaa
2026-07-15 18:27:07
1
nyatumbopweza :
na sio kweli
2026-07-15 19:05:00
1
Sadick :
naumia sana mimi kwaili
2026-07-15 18:39:49
1
user311829819488nady nii :
shekhe tunamtaka shekh walid
2026-07-15 18:29:06
1
ummu ramlah :
Allah atamuhifadhi inshaAllah
2026-07-15 18:43:00
2
Jafari Ndege :
acha siasa mambo yapo azalani
2026-07-15 18:36:38
2
12 :
hat mm nimetoka machozi kwa huyu shekhe wetu.lkn Allah atalipa hap hap ktk duniya na kesho akhera Ameen
2026-07-15 19:13:36
3
Al sakim herbal fresh :
we lov sheikh walid
فصبر فيه الخير جي يا الشيخ
2026-07-15 19:14:21
2
Hasfaty Halima :
wallah Mimi nimekosea usingixi kama nimefiwa na baba yangu mzazi wallah sina rahha nimetokwa na machozi nimelipa kama mtto mpka watoto wangu wananiuliza wallah kumchafua mwezio nidhambi hali yakuwa hakuna mkamilifu ni aallla pekee
2026-07-15 18:58:57
4
To see more videos from user @msimbuvt, please go to the Tikwm
homepage.