Alinisilimisha na nikakubali bila kulazimishwa na akanihaidi adi kuniowa wallahi nahapa adi leo sijui alipoenda lakin Nimemwachia Mwenyezi Mungu... sinta acha dini kwa kunidharau kwake😭😭😭😭
2026-07-16 21:02:40
91
saadaahmad :
wambiee Baba
2026-07-17 10:16:52
0
Ayoun ❣️❣️ :
Mungu tia motoni wanaume wote lana zetu ziwe juu yenu
2026-07-16 21:04:32
36
amina Al-khabibih :
kweli shehe; mashaallah jazzah kallah khair
2026-07-16 16:43:43
0
Prisca Kiula :
na wasafwe haswa wanatupotezea muda na direction ya maisha
2026-07-17 08:48:47
5
🇨🇦☄️🧿NaNa Nade🧿☄️🔥🇨🇦 :
True 💯
2026-07-17 10:26:38
0
Janeth Jones🦋🦋 :
Kweli baba Mimi Alie nitenda atajuta kwenye hii dunia Mpaka Mwisho wa hii dunia💔😭😭😭😭😭😭
2026-07-17 05:58:15
2
🦋🍂 clean heart 🦋🫂❤️💖 :
kwlie kabisa 😭😭😭
2026-07-16 21:10:03
1
MARYAM WA AHMADA :
ila ni kweli nina ushuuda
2026-07-15 18:32:34
8
pammie🦋🦋 :
lazima atalipia tu hata kama ni lini😢😢😢
2026-07-17 09:03:50
2
jumanasalma :
ni kwel allah nakuachia ww kila ambalo limenitokea allah akalipe
2026-07-17 06:41:20
0
RAMSO mobile & Electronics LTD :
comment section, wengi wanawake , wanaeleza hisia zao .
2026-07-16 21:23:43
1
perfect :
nili Fanya kilakitu kumbe mtu ana mtu mwingine mpaka leoh ajaleta barua nyumbani nikipg cm apatikani nyie Wanaume Mungu ana Wana😭
2026-07-16 09:59:08
2
Am wardathy :
hivii kwani kijana mwenye nia hutamjuaje jamani nmechoka mm jamani
2026-07-17 08:41:52
0
tatusaidi :
nandomana wanaume wengi wanalana ya mungu nanawalani wanaume wote wakwaza baba angu mzazi namlani sn na ishaala mungu atasikia duwa yangu
2026-07-17 05:20:36
0
naah❤❤ :
swadaktaaah
2026-07-17 06:56:21
0
Queen11 :
wiki 2 nyuma ila nimemkabidh mungu nikasahau faster