Tumefika pahala mpaka tunapangiwa kiwango kwamba lazima ufikishe kiasi Fulani,siyo Siri inatupa wakati mgumu sana sisi Viongozi na baadhi wanaokataa kuchaguliwa kwa kuyaepuka haya kwakweli inakwaza sana
2026-07-16 06:54:15
2
HAWI FISH 0.7,20#86.84..’22 :
😄😄😄haki padre si kwa kupenda kwetu. Ni mwelekezo kutoka kwa parish counsil . 😳
2026-07-16 08:20:13
1
thessa :
chimbuko la HAYA yote ni Nini? na yanaanzia wapi? Jimbo au Parokia inapotokea agizo KWA waumini yanaelekezwa wapi? hao viongozi sio kosa lao ni maagizo kutoka juu vinginevyo punguzeni michango kutoka juu hivi kiongozi anapobananishwa KWA kutotimiza malengo au maagizo kutoka juu mnategemea afanyeje HUYU? Awalipie wanajumuiya michango yote? ndio maana tunakwepa kuchaguliwa na tunaaswa kuchaguliwa kwenye uongozi WA kanisa ni sauti ya MUNGU hivyo tusikatae lkn KWA staili hii inatuwia vigumu kutii hii saut
2026-07-16 08:21:42
1
John Kimario :
nikweli kabisa wanapenda elaaa san iliwasifiwe kanisani kuwa wanatoa michango mikubwa
2026-07-16 09:41:21
0
DADA WA M4C :
Mungu atusaidie
2026-07-16 05:18:20
1
Merry karani :
ibada ya jumuia imekuwa fupi sana ila sadaka ni muda wa kuzidi
2026-07-16 04:58:05
1
Magreth Lema :
jumuiya haiwezi kukusanya pesa pasipo kuagizwa na uongozi wa parokia. chimbuko la michango huanzia kwny jumuiya.
2026-07-16 10:06:13
0
NACHI :
Uko sahihi sana father
2026-07-16 08:10:51
0
neemasanga147g@mail :
Nikweli adi mtu ikifika siku unawaza,
2026-07-16 09:35:56
0
petty_matowo :
Sasa tutafanyaje na michango inahitajika?!
2026-07-16 08:54:23
0
Yohana BUKHAY :
umesema padri umenigusa sana
2026-07-15 16:04:05
0
B :
nikweli baba umesema.
2026-07-16 05:03:57
0
Moana text :
Umesema sawa Father
2026-07-16 05:21:17
0
baby shop bonyokwa :
paroko umenigusa sana, nina miezi miwili sijaenda jumuiya naogopa kwenda maana hali yangu kiuchumi sio nzuri na jumuiya nadaiwa. mpaka sasa nadaiwa elfu30 ya wawata na bado kila mwezi inaongezeka elfu5. na michango mingine mingine.. mimi ni mshiriki mzuri kuanzia mahudhurio mpaka michango ila kwa sasa nina wakati mgumu ambapo naogopa hata kwenda jumuiya
2026-07-16 08:06:05
0
user4693866939308 :
Mungu akutangulie Kwa huduma yako Kwa Kweli umenena
2026-07-16 07:03:12
0
Leticia Mtinda :
AMEN 🙏 🙏 🙏
2026-07-16 04:05:24
0
Mary :
Ni kweli
2026-07-16 00:02:31
0
Mary :
Hlcho ndicho kilichoua jumuiya nyingi
2026-07-16 00:04:51
0
Ansfrida Mpanju :
mpaka tunahama kanisa kisa michango ya jumhia inazidimno baba MUNGU AKULINDE🙏
2026-07-16 10:06:16
0
Dennis :
ni ukweli Fr
2026-07-16 02:54:27
0
Naomi Kadenge :
nakwambia imezidi sana hii hali Kwanza kanisa la catoliki limezidi sana nipesa kwa pesa kama huna kazi eeeh anateseka sana
2026-07-16 05:33:46
0
Merry karani :
baba umegusa panapo
2026-07-16 04:59:39
0
Ronnie Ronald :
padre ako sawa
2026-07-15 21:21:32
0
To see more videos from user @prudencemuhango3, please go to the Tikwm
homepage.