@edutalktz:

Onesmo Mushi
Onesmo Mushi
Open In TikTok:
Region: US
Wednesday 15 July 2026 16:18:58 GMT
26234
1396
111
169

Music

Download

Comments

user224620767920
R_expo :
kufatilia haya mambo ni hasira tupu yan
2026-07-15 18:23:12
51
juliusrimoy1
JULIUS RIMOY :
waziri mkuu wa uholanzi anatembelea baskeli mzee akiwa anaenda kazini
2026-07-15 22:36:58
16
rommy_stylish2
rommy_stylish :
wameambiwa walinde aman na maisha wanayoish pia wanastaili kuish ivyo wameambiwa wawe masikn ili wakauone ufalme wa mbingn
2026-07-15 18:12:59
11
kavishe1245
kavishe_mobile_tech-📱📲 :
ni wachache sana wanaoweza kutambua kitu kama ichi . 🥺
2026-07-15 23:17:44
8
itsptlou
BohaGang :
Ardhi Ya Tanzania Imesubiri Mpaka Imejikatia Tamaa
2026-07-16 03:26:25
7
user7314484613450
Bishop Leonard leonce kajuna :
Hasante Onesmo umenitia nguvu,kuendelea kuwakataa watoa kafara,nifocus mambo yangu kitofauti,kwani wananchi wenyewe wako bize na mpira na bongo flavor!
2026-07-15 20:37:32
6
user9595007533090
BEA SIMBA :
tatizo siasa kwetu Kila sehemu maslahi ya chama sio maslahi ya nchi na watu wake
2026-07-16 08:37:22
5
belle_luke
LukeLM :
Ni kweli Netherlands wametuacha mbali sana kwenye kilimo. Tusijisahau kuwa uchumi wetu sisi bongo sio rasmi (informal) ukitumia data utapata bias answers. uholanzi wamewekeza sana kwenye tafiti hasa kupitia chuo kikuu cha Wageningen (ranked 1 duniani), hali ya hewa yao na teknolojia ya soilless farming. pia usiache kusema kuwa serikali ya NL haina maafisa kilimo. mfano NL anaongoza kuimport maua lakini pia anaongoza kuexport maua hayo hayo. Wenzetu agriculture statistics zao wanatunza vizuri, sisi bado tunafoji data.
2026-07-16 11:40:34
5
yekoniakusiluka
kusyeko kusyeko :
ukiifikiria tz ukaamua kufuatilia mambo ya nchi hii na ufisad wa hii nchi hiii unachanganiwa kama sio kufa
2026-07-15 17:45:52
5
mwana.jamii
Mwana Jamii :
Atakae kusikiliza mpaka mwisho kama mimi na akaweka speed ya 1.5 dah unaweza kulia jamaa kuda jamaa nimepishana nae leo anasukuma toroli la Azam ice cream afu ile basikeli ni mbovu ya mataili matatu ni kijana mwenzangu hakika nimeumia sana nguvu ambayo ingekuwa inalima inateswa na Muarabu ambae hio hera pia atakuwa kadhurumu kwa wanyonge kulipa mishahara isio na tija ya kinyonyaji dah😌
2026-07-15 17:05:02
4
user561686244705
Any :
Njoo huku malawi kiongozi ana msafara wa magari ya kifahari ya kutosha wakati hapa hapa mjini wananchi hawana maji
2026-07-16 06:19:50
4
swahib876
young swaah :
mzungu ni mzungu tu
2026-07-16 05:51:04
4
michael.ndilola
michael ndilola :
Natafuta comment za matusi za uvccm😁
2026-07-16 03:50:56
4
kemboo9
2kembo 009 :
achane bwana njooon 2jenge nchii wakuu
2026-07-16 03:29:07
4
user6021860058458
🫥 :
hii nchi pamoja na Africa kwa ujumla tuna WATAWALA na sio VIONGOZI 😐
2026-07-15 22:03:33
4
monapately
Mona🩷 :
Ukiifatilia Tanzania itakuua kwa presha an huna jinsi ya kufanya any changes,,ukijaribu unatekwa na wenyewe,tulitakiwa tuishi maisha ya Asali na maziwa sisi basi tu🥺
2026-07-16 09:19:56
3
slmffff8
sl45 :
netherland 1581 kuanza tanzania 1961-4 unawezaje ringanisha namashaka na upeo wako
2026-07-16 09:57:08
2
juliusrimoy1
JULIUS RIMOY :
mcc hawajali hayo mzee wao wanalinda amani tuu na kuhangaika kilipa watu waseme heche kala ela za tone tone
2026-07-15 22:27:23
2
user8571904271354
Sufiani kopo :
Bro hawa ni vizibo
2026-07-15 18:17:49
2
promise_me2025
Promise :
uongozi tulio nao ni reflection ya aina ya jamii tulizo nazo. viongozi wanatoka kwenye jamii hizi hizi za kwetu kwaio tuna vuna tulichopanda
2026-07-16 04:05:17
2
samsonndelembi
Samson Reuben Ndelembi :
uko vizuri brother, umeniamsha
2026-07-15 19:12:46
2
amararehema
amararehema :
Wazanzibar Wakijipanga wakatumia hii opportunity ya SAMIA Vizuri watakuwa Europe ya Africa.
2026-07-16 00:47:25
2
mr_mapolo
mr. mapolo :
nouma sana haya mambo!
2026-07-15 16:49:38
1
dullaxgmcar
d mago jr :
sijuwi tumelogwa nani sisi
2026-07-15 22:19:47
1
To see more videos from user @edutalktz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About