@kanikibrown: .......................................................... #WEWENIFAMILIA Ripota wa Habari za Mikoani ✍ @kaniki_brown “Endelea kufuatilia #Ripotawahabarizamikoani kwa taarifa sahihi na za uhakika. KWA MATANGAZO YA BIASHARA NA HABARI Follow kwa updates zaidi. Kuwasiliana 📞 0622 732 287 #kanikibrown”
Nchi hii itaharibiwa na sisi wewenyewe .katiba mpya iko wapi tumedanganywa miaka mingi kupata katiba .uchaguzi umekuwa ukiondoa maisha ya watanzania kwanini kusiwe na tume huru ya chaguzi zetu.wewe mzee mimi sikuelewi .
2026-07-16 04:56:18
0
Deus :
2026-07-15 17:31:20
1
Rashid Ame :
tutoe ushamba sisi washamba bado
2026-07-16 06:00:16
1
Arsene Makonga :
mama wewe kweri jasiri tanzania tutashinda hatuto yumbishwa mungu hakupe maisha marefu mamayetu
kaka nonekuelewa sana kupitia speech ya rais wetu. Allah awahifadhini na awalinde
2026-07-16 17:23:56
0
in :
ainashida .iaaka inasonga mbele
2026-07-15 17:18:01
1
Mmmmmmm :
tunampenda mama❤️❤️❤️
2026-07-16 18:43:39
0
sadikingonyani1 :
tumepandikishwa virusi vibaya sana,uongo kwetu ni kweli na ukweli kwetu ni uongo. tuko na arosito
2026-07-16 13:38:12
0
sadik kapwela :
ndg yangu nikweri kabisa yani
2026-07-16 13:06:00
0
Laurah :
Munguu hii Tanganyika inakuhitaji wewee tuuu, tunaimani siku moja utaiponya.
2026-07-16 12:46:27
0
user24024190945116 :
Mama kaongea vizuri sana 🙏🙏🙏🙏🙏
2026-07-16 06:05:04
0
Rashid Ame :
kaka wewe ukosawa tuamshe tumelala
2026-07-16 05:59:37
1
Angelo :
Tunajua umepewa gari bwana wew endesha sisi tunahitaji katiba mpya nchi hii ikiharibika wakulaumiwa ni viongozi wanaotawala sasa ambao hawatakinkusikiliza mawazo ya wananchi kuwa wanahitaji nini
2026-07-16 09:48:18
0
nassraabdallah7 :
m.mungu akulinde mama yetu akupe afya umri na nguvu maneno yako ni kweli kabisa🥰
2026-07-16 09:43:19
0
Mariamu Masaninga :
sanaa nimemskia na kumuelewa vizuri mhe Rais wetu kipenz chetu shujaa wetu mlezi wetu tuko pamoja nae natuko tayarii kulinda amani yetu na kuitunza niwajibu wetu
2026-07-16 21:50:04
0
Shariff Hasan :
sahihi
2026-07-16 09:09:38
0
Jasba Kipingu :
kwasasa hata raisi aongee kizuri bado hatarleweka tena nchi bado ipo na kidonda kikubwa sana
2026-07-15 16:46:50
1
To see more videos from user @kanikibrown, please go to the Tikwm
homepage.