ongea vyovyote unavyo taka shekhe wetu tunae na tunatamba nae na IJUMAA tutaswalinae
2026-07-15 20:08:37
45
Fatmah shaybu ❤️ :
Shekhe wangu Allah akupe subra
2026-07-15 18:19:44
36
zainabukweka :
asante
2026-07-15 21:56:06
0
Bint Fundikila :
SUBIR SAUT YAKO WATU TUTUMIE KWENY CONTENT ZETU 😂
2026-07-15 17:18:30
32
Alhabib nassir juma :
Yaishe Dada yaishe inatosha inatosha kama kusema umesema sana imetosha usiwasikilize watu wanakuhoji hoji ni wanafki ili uzidi kutukwaza wapenz wa Shekh yaache Yaishe sasa please
2026-07-15 17:36:38
25
Belvienne🫶🏻 :
Sasa Mbna wakati unampea hukuja kusema hadharani
2026-07-15 20:48:27
8
Fatuma Lukombe :
NIPO NAWEWE MSICHANA MWENZANGU UKO VIZURI BWANA MTUME MUHAMMAD YUPO NAWE FUNGUKA TU
2026-07-15 16:53:03
29
Nassor Mbaruk :
yaani،،، BARAZA, LA MAULAMAA “wangelisema tunafuatilia, baadaye tutatoa uamuzi rasmi
badala ya kusimamisha ghafla”
— muono wangu ni huu:
Ni hoja yenye uzito upande wa utaratibu na kulinda heshima ya mtu. Kiongozi wa dini anapokuwa na tuhuma au jambo linalohitaji kuchunguzwa, ni busara sana kutenganisha kati ya uchunguzi na hukumu ya mwisho. Kauli ya awali kama “tunalifuatilia suala hili, tutatoa maamuzi baada ya kupata ukweli” ingeweza kupunguza tafsiri kwamba tayari mtu amehukumiwa.
Lakini pia kusimamishwa kwa muda si lazima iwe sawa na kumtia hatiani; wakati mwingine ni hatua ya kiutawala ili uchunguzi ufanyike bila shinikizo au mgongano wa maslahi.
Kwa hiyo, kipimo kikubwa ni namna ilivyowasilishwa kwa umma: kama ilionekana ni kusimamishwa kwa muda kwa ajili ya uchunguzi, kuna tofauti; lakini kama jamii ilipokea kama hukumu ya mwisho kabla ya mchakato kukamilika, hapo ndipo hoja ya haraka na athari kwa heshima ya mtu inakuwa nzito.
Kwa mtazamo wangu, uwazi wa kusema “tunachunguza, uamuzi rasmi utakuja baadaye” ungekuwa njia yenye busara zaidi katika hali yenye unyeti kama hii.
2026-07-15 16:38:04
28
habibty roughy :
Sawa Dada basi itoshe samehe na usimfedheheshe mwenzako msitiri na Allah atakusitiri pia plz😭😭🥹
2026-07-15 20:16:44
8
Sitty Ricco :
wage wage
2026-07-15 21:29:38
0
liliananthony70 :
ongea uongeavyo shekhe bdo tupo nae bega kwa bega na ijumaa inshallah 🙏 tutasali nae msikiti wa kichangani magomeni😅
2026-07-15 18:57:35
12
Mwamjengwa :
Kwani alikupata wapi?
2026-07-15 16:53:19
11
Nasrahat Farhat :
ila miwani 🙌
2026-07-15 16:45:15
12
Mustafa Issa :
Burundi to bongo mlikutana wapi
2026-07-15 17:01:20
7
Hawa Hashim :
Nameshim Shekh Walid pamoja na Mashekh wote hiki kinachoendelea ni fedheha sio kwako shekh ni kwa Uislam pamoja na Bakwata kushindwa kusolve Hii Migogoro ya ndoa tunakosa iman na Baraza letu
2026-07-15 18:56:50
6
Oxygen :
Imetosha dada naamini suala lako lita shughulikiwa sasa usiendelee kumuumiza baba mtoto wako imetosha.
2026-07-15 18:32:33
6
ftmamahamm :
hii ni blackmailing🥺
2026-07-15 16:51:22
5
hasheem dissigner :
Allah ampe subra shekh wetu
2026-07-15 18:00:39
5
ANTYMIY LEGACY_🎀🛍️ :
Mwanzo nilikuonea huruma ujue🥺chaajab ss hv unanifany nicheke 😂
2026-07-15 22:00:05
0
🫧🥀ḬṀṘḀṆ_ṖḶḀṮṆṲṀẒ🥀 :
Nimejifunza kwamba hutakiwi kumuamini mwanamke maisha yako yote
2026-07-15 21:42:33
5
Ms _ Sandy ♋️ 💧 🌕 :
Nlijua Taiya wa kombolela
2026-07-15 20:55:49
4
eshedau :
Imetosha dada pumzika ufanye maisha yako utopata muafaka shekhe watu wanampenda
2026-07-15 19:24:52
4
Feti Jumanne :
dada inatosha mwezako nimeachiw watot 5.napambana nao na Sina kz.my dear mshukur mung mung anamuukumu mwenye kosa inatosha
2026-07-15 19:21:53
5
juma sadallah :
nikuoe Mimi basi
2026-07-15 16:58:06
4
To see more videos from user @user28882761968133, please go to the Tikwm
homepage.